Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 18,552
- 21,685
"kuna wakati mchepuko unasumbua hadi unatamani umwambie mkeo"
Mkuu Ushimen, hebu nisaidie kumuuliza mtoa mada kama kaolewa....mi nipo mbali huku hawezi sikiaHii inamuhusu mleta mada mwenyewe chief, maana kwajinsi alivyo simulia na alivyo jitanabaisha inaonekana ni yeye ndiye muhusika na kwakuwa anafahamika humu basi ameona aibu kutumia ID yake ninayo ifaham
Wakati naanza kujua mema na mabaya, babu yangu aliwahi kuniambia huwezi 'kumridhisha' mtu 'asiyeridhishwa' na wewe.Duh! Mumewe anajua hamridhishi mkewe??
Hadi kajua kuw akakojozwa mara nne aagahh wapi ni yeye mwenyewe....Hii inamuhusu mleta mada mwenyewe chief, maana kwajinsi alivyo simulia na alivyo jitanabaisha inaonekana ni yeye ndiye muhusika na kwakuwa anafahamika humu basi ameona aibu kutumia ID yake ninayo ifaham
Dah..inauma sanaa..kuna moment huwa sielewi elewi ila duh..u just take it easy n let God judge...huu mchezo hauhitaji hasira kabisaaUnaweza ukaona mkeo anaumwa na humwelewi kumbe amegombana au ameachika na mchepuko wake....
Dunia hii....🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😭😭😭😭😭😭😥😥😥😥😥😥😥😥
kwamba kila kitu lazima kiwe mutual sio?Wakati naanza kujua mema na mabaya, babu yangu aliwahi kuniambia huwezi 'kumridhisha' mtu 'asiyeridhishwa' na wewe.
Achilia mbali kufanya mapenzi,Mwanamke akisha kuwa na wazo tu la kuchepuka ni ngumu kumwona tena mume wake kuwa ana thamani,anabaki anakuona kama kinyago tu.