hii sampuli mupyaaaJf kuna kila aina ya sampuli
Hajapata wa kumuwezesha tusio mchezo
Huyu mwanaume alikuwa bwana angu sijui ameniacha hata sielewi maana hanipigii tena simu.
Mimi nimemaliza chuo mwaka jana chuo cha ualimu sasa nilikuwa nipo tu nyumbani bila kazi.
Huyu mwanaume ameoa nilikuwa natembea naye ndo alikuwa ananipa pesa ndogondogo za matumizi. Nimetafuta sana kazi mpaka nimechoka mtaani panatisha.Huyu mwanaume aliniambia atanipangia chumba niwe naishi ili nitoke nyumbani.
Kadri siku zilivyoenda nikaona mambo si mambo kunipa hela mpaka tufanye mapenzi ananipa hela elf 20 mwisho elf 30 na mimi nina mahitaji mengi sana. Basi nikaamua kuingia mtaani hapa Tabora mjini kusaka kazi nikawa nimepata kazi ya kuhudumia jiko la kwenye Bar.
Sasa huu ni mwezi wa tatu toka nimwambie nafanya kazi hii hanipigii tena simu.Na mimi hata simtafuti kwa sababu mpaka saivi nimeshaweka ndani kiasi cha laki 5 nasubiria nifikishe milioni moja na mimi nifungue biashara yangu.
Huyu mwanaume yawezekana hataki mimi nifanikiwe au ni makosa mimi kufanya hiyo kazi kwani kuna shida gani jamani?
Sasa mimi nisipohangaika nitapata wapi pesa kama saivi ninaweza kurudi nyumbani na elf 10 kila siku naanzaje kuacha jamani, uzuri hata nikitongozwa sina muda yani naingia kazini asubuhi saa 4 natoka saa 5 huwa muda wa kumsaliti natoa wapi na ninarudi nyumbani.
Hana akili huyu mwanaume kwa kweli hana kabisa akili saivi angeshukuru simuombi hata mia yeye ndo kanuna mjinga tu.
Badala angejipendekeza ningekuwa nampa hata hela ya supu. Na mimi sitishiki tuone mpaka mwisho na hizi chenchi za wateja tamu hata mshahara sikumbuki.
Njoo PM nikushauriNdioooo
Wanaume tuna tofautianaAiseeee nimecheka sana mwanaume anachezea bahati inaonekana bidada yuko vizur kwenye kutafuta maisha
Teacher hujui kufupisha (summarize), na umemaliza shule jana tuu....Huyu mwanaume alikuwa bwana angu sijui ameniacha hata sielewi maana hanipigii tena simu.
Mimi nimemaliza chuo mwaka jana chuo cha ualimu sasa nilikuwa nipo tu nyumbani bila kazi.
Huyu mwanaume ameoa nilikuwa natembea naye ndo alikuwa ananipa pesa ndogondogo za matumizi. Nimetafuta sana kazi mpaka nimechoka mtaani panatisha.Huyu mwanaume aliniambia atanipangia chumba niwe naishi ili nitoke nyumbani.
Kadri siku zilivyoenda nikaona mambo si mambo kunipa hela mpaka tufanye mapenzi ananipa hela elf 20 mwisho elf 30 na mimi nina mahitaji mengi sana. Basi nikaamua kuingia mtaani hapa Tabora mjini kusaka kazi nikawa nimepata kazi ya kuhudumia jiko la kwenye Bar.
Sasa huu ni mwezi wa tatu toka nimwambie nafanya kazi hii hanipigii tena simu.Na mimi hata simtafuti kwa sababu mpaka saivi nimeshaweka ndani kiasi cha laki 5 nasubiria nifikishe milioni moja na mimi nifungue biashara yangu.
Huyu mwanaume yawezekana hataki mimi nifanikiwe au ni makosa mimi kufanya hiyo kazi kwani kuna shida gani jamani?
Sasa mimi nisipohangaika nitapata wapi pesa kama saivi ninaweza kurudi nyumbani na elf 10 kila siku naanzaje kuacha jamani, uzuri hata nikitongozwa sina muda yani naingia kazini asubuhi saa 4 natoka saa 5 huwa muda wa kumsaliti natoa wapi na ninarudi nyumbani.
Hana akili huyu mwanaume kwa kweli hana kabisa akili saivi angeshukuru simuombi hata mia yeye ndo kanuna mjinga tu.
Badala angejipendekeza ningekuwa nampa hata hela ya supu. Na mimi sitishiki tuone mpaka mwisho na hizi chenchi za wateja tamu hata mshahara sikumbuki.
Kwahiyo mpaka akutafute yeye ndio umuone sio mjinga? Kwa haya uliyofanya inaonekana wazi busara huna na hufai kuwa mke mwenye kusisimuaHuyu mwanaume alikuwa bwana angu sijui ameniacha hata sielewi maana hanipigii tena simu.
Mimi nimemaliza chuo mwaka jana chuo cha ualimu sasa nilikuwa nipo tu nyumbani bila kazi.
Huyu mwanaume ameoa nilikuwa natembea naye ndo alikuwa ananipa pesa ndogondogo za matumizi. Nimetafuta sana kazi mpaka nimechoka mtaani panatisha.Huyu mwanaume aliniambia atanipangia chumba niwe naishi ili nitoke nyumbani.
Kadri siku zilivyoenda nikaona mambo si mambo kunipa hela mpaka tufanye mapenzi ananipa hela elf 20 mwisho elf 30 na mimi nina mahitaji mengi sana. Basi nikaamua kuingia mtaani hapa Tabora mjini kusaka kazi nikawa nimepata kazi ya kuhudumia jiko la kwenye Bar.
Sasa huu ni mwezi wa tatu toka nimwambie nafanya kazi hii hanipigii tena simu.Na mimi hata simtafuti kwa sababu mpaka saivi nimeshaweka ndani kiasi cha laki 5 nasubiria nifikishe milioni moja na mimi nifungue biashara yangu.
Huyu mwanaume yawezekana hataki mimi nifanikiwe au ni makosa mimi kufanya hiyo kazi kwani kuna shida gani jamani?
Sasa mimi nisipohangaika nitapata wapi pesa kama saivi ninaweza kurudi nyumbani na elf 10 kila siku naanzaje kuacha jamani, uzuri hata nikitongozwa sina muda yani naingia kazini asubuhi saa 4 natoka saa 5 huwa muda wa kumsaliti natoa wapi na ninarudi nyumbani.
Hana akili huyu mwanaume kwa kweli hana kabisa akili saivi angeshukuru simuombi hata mia yeye ndo kanuna mjinga tu.
Badala angejipendekeza ningekuwa nampa hata hela ya supu. Na mimi sitishiki tuone mpaka mwisho na hizi chenchi za wateja tamu hata mshahara sikumbuki.
Ukimsaliti atakuwa ni msaliti aliyesalitiwa.Huyu mwanaume alikuwa bwana angu sijui ameniacha hata sielewi maana hanipigii tena simu.
Mimi nimemaliza chuo mwaka jana chuo cha ualimu sasa nilikuwa nipo tu nyumbani bila kazi.
Huyu mwanaume ameoa nilikuwa natembea naye ndo alikuwa ananipa pesa ndogondogo za matumizi. Nimetafuta sana kazi mpaka nimechoka mtaani panatisha.Huyu mwanaume aliniambia atanipangia chumba niwe naishi ili nitoke nyumbani.
Kadri siku zilivyoenda nikaona mambo si mambo kunipa hela mpaka tufanye mapenzi ananipa hela elf 20 mwisho elf 30 na mimi nina mahitaji mengi sana. Basi nikaamua kuingia mtaani hapa Tabora mjini kusaka kazi nikawa nimepata kazi ya kuhudumia jiko la kwenye Bar.
Sasa huu ni mwezi wa tatu toka nimwambie nafanya kazi hii hanipigii tena simu.Na mimi hata simtafuti kwa sababu mpaka saivi nimeshaweka ndani kiasi cha laki 5 nasubiria nifikishe milioni moja na mimi nifungue biashara yangu.
Huyu mwanaume yawezekana hataki mimi nifanikiwe au ni makosa mimi kufanya hiyo kazi kwani kuna shida gani jamani?
Sasa mimi nisipohangaika nitapata wapi pesa kama saivi ninaweza kurudi nyumbani na elf 10 kila siku naanzaje kuacha jamani, uzuri hata nikitongozwa sina muda yani naingia kazini asubuhi saa 4 natoka saa 5 huwa muda wa kumsaliti natoa wapi na ninarudi nyumbani.
Hana akili huyu mwanaume kwa kweli hana kabisa akili saivi angeshukuru simuombi hata mia yeye ndo kanuna mjinga tu.
Badala angejipendekeza ningekuwa nampa hata hela ya supu. Na mimi sitishiki tuone mpaka mwisho na hizi chenchi za wateja tamu hata mshahara sikumbuki.
Kwa maisha yanavyoenda hapa nchini michepuko mingi tumeshaitelekeza kwa sababu dhiki kuu iliyosababishwa na bwana yule.Kwa niaba ya wachepukaji wote tunaomba kutoa taarifa kuwa tukitoka kazini tutarudi nyumbani hata kama wake zetu ni mavuvuzela,au wananuka mdomo tutavumiliana tu.ASANTENIHuyu mwanaume alikuwa bwana angu sijui ameniacha hata sielewi maana hanipigii tena simu.
Mimi nimemaliza chuo mwaka jana chuo cha ualimu sasa nilikuwa nipo tu nyumbani bila kazi.
Huyu mwanaume ameoa nilikuwa natembea naye ndo alikuwa ananipa pesa ndogondogo za matumizi. Nimetafuta sana kazi mpaka nimechoka mtaani panatisha.Huyu mwanaume aliniambia atanipangia chumba niwe naishi ili nitoke nyumbani.
Kadri siku zilivyoenda nikaona mambo si mambo kunipa hela mpaka tufanye mapenzi ananipa hela elf 20 mwisho elf 30 na mimi nina mahitaji mengi sana. Basi nikaamua kuingia mtaani hapa Tabora mjini kusaka kazi nikawa nimepata kazi ya kuhudumia jiko la kwenye Bar.
Sasa huu ni mwezi wa tatu toka nimwambie nafanya kazi hii hanipigii tena simu.Na mimi hata simtafuti kwa sababu mpaka saivi nimeshaweka ndani kiasi cha laki 5 nasubiria nifikishe milioni moja na mimi nifungue biashara yangu.
Huyu mwanaume yawezekana hataki mimi nifanikiwe au ni makosa mimi kufanya hiyo kazi kwani kuna shida gani jamani?
Sasa mimi nisipohangaika nitapata wapi pesa kama saivi ninaweza kurudi nyumbani na elf 10 kila siku naanzaje kuacha jamani, uzuri hata nikitongozwa sina muda yani naingia kazini asubuhi saa 4 natoka saa 5 huwa muda wa kumsaliti natoa wapi na ninarudi nyumbani.
Hana akili huyu mwanaume kwa kweli hana kabisa akili saivi angeshukuru simuombi hata mia yeye ndo kanuna mjinga tu.
Badala angejipendekeza ningekuwa nampa hata hela ya supu. Na mimi sitishiki tuone mpaka mwisho na hizi chenchi za wateja tamu hata mshahara sikumbuki.