fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,623
- 8,198
Ikatokea umemfumania mkeo, usimuabishe mkeo. Nyamaza, acha huyo mgoni wako aondoke, kaa kitako na mkeo muongee na myamalize nyie wawili na usimtangaze popote.
Huyu Bwana ameshauri. Hakulazimisha. Hapa anapima manufaa yanayopatikana kwa kumuaibisha mkeo.Umewahi kukutana na hayo mazingira au unaonges tu mbele ya platfom mithili ya Mwijaku na Juma Lokole?
Kibiblia unaruhusiwa kumwacha mke aliyezini ukaoa mwingineIkatokea umemfumania mkeo, usimuabishe mkeo. Nyamaza, acha huyo mgoni wako aondoke, kaa kitako na mkeo muongee na myamalize nyie wawili na usimtangaze popote.
japo hasira huwa hazitabiriki zitakujaje but kuaibishana na kujaziana watu huo ni ushamba sana!coz Mali ya mtu aliyopewa na Mungu huwezi ilinda anapotaka kuitumia!!!
Fimbo bwana. Hivi ulipoteleaga wapi? nakumbuka kitambo ulikua wamoto sana lile jukwaa la wakubwa....Ikatokea umemfumania mkeo, usimuabishe mkeo. Nyamaza, acha huyo mgoni wako aondoke, kaa kitako na mkeo muongee na myamalize nyie wawili na usimtangaze popote.
Liverpool VPN na dronedrake kujeni huku mumsikie huyu boya.Ikatokea umemfumania mkeo, usimuabishe mkeo. Nyamaza, acha huyo mgoni wako aondoke, kaa kitako na mkeo muongee na myamalize nyie wawili na usimtangaze popote.
Katika Uzi wa kipumbavu niliosoma tangu nizaliwe ni huu, acha kutetea umalayaIkatokea umemfumania mkeo, usimuabishe mkeo. Nyamaza, acha huyo mgoni wako aondoke, kaa kitako na mkeo muongee na myamalize nyie wawili na usimtangaze popote.
Ushauri wa kipumbavu.Ikatokea umemfumania mkeo, usimuabishe mkeo. Nyamaza, acha huyo mgoni wako aondoke, kaa kitako na mkeo muongee na myamalize nyie wawili na usimtangaze popote.
zingatia hoja,kama unaona haikufai kaa kimya tuUmewahi kukutana na hayo mazingira au unaonges tu mbele ya platfom mithili ya Mwijaku na Juma Lokole?
asantejapo hasira huwa hazitabiriki zitakujaje but kuaibishana na kujaziana watu huo ni ushamba sana!coz Mali ya mtu aliyopewa na Mungu huwezi ilinda anapotaka kuitumia!!!
msingi ni hoja tuNiliwahi kusoma mahali hiki kitu, kama sio kwenye filamu!