Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,409
- 21,781
KWA MWANAUME AMBAYE HAJAOA :
Ikiwa huna mpango wa kumuoa huyo mwanamke wako, kamwe usimuulize umri wake.
Usimuulize kwanini bado yuko single.
Usimuulize ana uzito wa kilo ngapi.
Na ikiwa haujawahi kulala naye, kamwe Usimuulize ikiwa ana ujauzito kuwa kaupataje.
Kamwe usimuulize mwanamke wako kama rangi yake, kucha zake, nywele zake, matiti na matako yake ni halisi.
Moja ya maswali ya hovyo kabisa ni kumuuliza mwanamke "ni wanaume wangapi amelala nao"
Na usijaribu pia kumuuliza mwanamke swali kama hili , "Ulitumia shilingi ngapi kuremba nywele zako?"
Kama urembo wake unakuumiza kaa naye mbali.
KWA WANAUME MLIOOA, kamwe Usimuulize mkeo
"Je, ndivyo unavyovaa siku hizi?" Badala yake, pendekeza mavazi ambayo ungependa awe anavaa siku hizi na atakuelewa tu.
Na usimuulize ikiwa yuko hedhi. Hasira za hedhi ni hadithi tu.
Ubarikiwe.
Ikiwa huna mpango wa kumuoa huyo mwanamke wako, kamwe usimuulize umri wake.
Usimuulize kwanini bado yuko single.
Usimuulize ana uzito wa kilo ngapi.
Na ikiwa haujawahi kulala naye, kamwe Usimuulize ikiwa ana ujauzito kuwa kaupataje.
Kamwe usimuulize mwanamke wako kama rangi yake, kucha zake, nywele zake, matiti na matako yake ni halisi.
Moja ya maswali ya hovyo kabisa ni kumuuliza mwanamke "ni wanaume wangapi amelala nao"
Na usijaribu pia kumuuliza mwanamke swali kama hili , "Ulitumia shilingi ngapi kuremba nywele zako?"
Kama urembo wake unakuumiza kaa naye mbali.
KWA WANAUME MLIOOA, kamwe Usimuulize mkeo
"Je, ndivyo unavyovaa siku hizi?" Badala yake, pendekeza mavazi ambayo ungependa awe anavaa siku hizi na atakuelewa tu.
Na usimuulize ikiwa yuko hedhi. Hasira za hedhi ni hadithi tu.
Ubarikiwe.