Mume nipo hapa

Account

Member
Joined
Jan 26, 2015
Posts
8
Reaction score
1
Natafuta mke wa kuoa,mimi naishi Dar es salaam,umri wangu ni miaka 30,mke ni mtakae awe mweupe,awe ameajiajiri,mwenye nidhamu safi,umri wake 25-35.

Mimi sina elimu kubwa, ambae ana utayari andike namba yake cause aki Pm haina uwezo kumjibu mpaka 5 post kukamilika kwenye account yangu.
 
wasubiri watakuja wake waliopo hapa, nilivyoona tittle yako nikajua yale matangazo ya waganga wapo hapa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…