sakapal
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,804
- 1,424
Je kutokana na uchunguzi wangu niko sawa juu ya hii? naombeni maoni yenu pia,
Mwanaume ambaye yuko insecure juu ya mke wake katika maeneo yote yaani kuanzia kitandani hadi kimaongezi na utashi atakuwa hivi,
-Anamtukana mke wake na kumtamkia maneno ya kumuudhi kwa kosa dogo tuu, kosa lake yeye mwenyewe mwanaume, kosa lililofanyika zamani na kuchukulia ndo ulivo wew mwanamke.
-Hajiamini kama amefanikiwa kuwa na mke mzuri na anammiliki hadi watu wa nje wamwambie, kitu kizuri akiambiwa na mkewe hakikubali hadi aambiwe na mtu wa nje.
-Akifanya kosa na likionekana live-kubambwa au kufumwa akifanya uovu huwa mpole kama choroko na huomba msamaha kama mtoto na kuahidi kutorudia tena na kesho akirudia hilo kosa usithubutu kumkumbusha kwasababu utakula makofi hadi usahau jina lako
-Anatumia kilevi kupata confidense ya kujieleza na anajihisi hasikilizwi na kuishia kutishia nikijua unamahusiano nje utakoma
-Hujibu dry au short kwa story anazopigiwa na mkewe hata za kuchekesha ili kuvunja ukimya na mwisho huyageuza maongezi kuwa ugomvi na mwisho hasira na kurushiana maneno machafu na mwisho kununiana
Wanaume hawa huwa kero kwa wake zao wazuri na mwisho wa yoote mke hutafuta stress release nje itakayo mchekesha, itakayomfanya akijirembe asifiwe umependeza, hata zawadi ya pipi tu hutosha kumteka mwanamke wa namna hii
mwnamke huyu huwa amejeruhiwa tayari na akipata mtu anayemjali kwa kumsikiliza na kuongea na e kwa upole hulala na kuwaza muda wote maongezi mapya na kukunja ndita kwa mume wake.
Angalizo mwanaume wa jinsi hii tunzamke wako akipata wanaomjali nje hatakusikiliza tena na hatakuwa anaogopa kuvunja ndoa.
-Wanawake wengi wa dhahama ya ndoa kama hii hujaribu kwa nguvu zao zote kujenga hiyo ndoa isibomoke pamoja na kero zote wanazopata ila ogopa A FED UP WOMEN!!
Mwanaume ambaye yuko insecure juu ya mke wake katika maeneo yote yaani kuanzia kitandani hadi kimaongezi na utashi atakuwa hivi,
-Anamtukana mke wake na kumtamkia maneno ya kumuudhi kwa kosa dogo tuu, kosa lake yeye mwenyewe mwanaume, kosa lililofanyika zamani na kuchukulia ndo ulivo wew mwanamke.
-Hajiamini kama amefanikiwa kuwa na mke mzuri na anammiliki hadi watu wa nje wamwambie, kitu kizuri akiambiwa na mkewe hakikubali hadi aambiwe na mtu wa nje.
-Akifanya kosa na likionekana live-kubambwa au kufumwa akifanya uovu huwa mpole kama choroko na huomba msamaha kama mtoto na kuahidi kutorudia tena na kesho akirudia hilo kosa usithubutu kumkumbusha kwasababu utakula makofi hadi usahau jina lako
-Anatumia kilevi kupata confidense ya kujieleza na anajihisi hasikilizwi na kuishia kutishia nikijua unamahusiano nje utakoma
-Hujibu dry au short kwa story anazopigiwa na mkewe hata za kuchekesha ili kuvunja ukimya na mwisho huyageuza maongezi kuwa ugomvi na mwisho hasira na kurushiana maneno machafu na mwisho kununiana
Wanaume hawa huwa kero kwa wake zao wazuri na mwisho wa yoote mke hutafuta stress release nje itakayo mchekesha, itakayomfanya akijirembe asifiwe umependeza, hata zawadi ya pipi tu hutosha kumteka mwanamke wa namna hii
mwnamke huyu huwa amejeruhiwa tayari na akipata mtu anayemjali kwa kumsikiliza na kuongea na e kwa upole hulala na kuwaza muda wote maongezi mapya na kukunja ndita kwa mume wake.
Angalizo mwanaume wa jinsi hii tunzamke wako akipata wanaomjali nje hatakusikiliza tena na hatakuwa anaogopa kuvunja ndoa.
-Wanawake wengi wa dhahama ya ndoa kama hii hujaribu kwa nguvu zao zote kujenga hiyo ndoa isibomoke pamoja na kero zote wanazopata ila ogopa A FED UP WOMEN!!