N Ninadj Member Joined May 13, 2013 Posts 8 Reaction score 9 Jun 24, 2013 #1 Jamaa alikwenda Bar na mke wake wa ndoa,wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita binti mmoja anayejiuza akamsogelea yule mke wa jamaa akamnong'oneza " AKULIPE KABISA NI MGUMU KULIPA HUYOO!!......
Jamaa alikwenda Bar na mke wake wa ndoa,wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita binti mmoja anayejiuza akamsogelea yule mke wa jamaa akamnong'oneza " AKULIPE KABISA NI MGUMU KULIPA HUYOO!!......
ndendi JF-Expert Member Joined Nov 29, 2012 Posts 625 Reaction score 184 Jun 24, 2013 #2 hahahahaaa hiyo kali mkuuuu.
Sanoyet JF-Expert Member Joined Apr 3, 2013 Posts 1,323 Reaction score 295 Jun 24, 2013 #3 Whawhawhawhawhawhawhawhawhawhawhawhawhawhawhawhawhawha!
Baba V JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 19,479 Reaction score 9,546 Jun 24, 2013 #4 Hapo chacha...
Mashaxizo JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 6,707 Reaction score 3,355 Jun 24, 2013 #5 Amani! Amani! Amani! Dah nimekubali xanaa!
D dotcomlady Senior Member Joined May 2, 2013 Posts 137 Reaction score 11 Jun 24, 2013 #6 Hahah aibu sana jamani kwa jamaa Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
N NancyM JF-Expert Member Joined Mar 2, 2013 Posts 314 Reaction score 40 Jun 25, 2013 #7 Hiyo kali sana mwee kaazi ipo hakuna tofauti Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
S sabry101 Member Joined Jun 17, 2013 Posts 18 Reaction score 1 Jun 27, 2013 #8 ndo uwanaume hapo unaonekana. Nke anajua kua kumbe mumewe hatoe hela ovyo. Mpaka kieleweke.
TOTS SHALO Senior Member Joined Sep 24, 2012 Posts 152 Reaction score 25 Jun 27, 2013 #9 umetisha kaka hii nzuri.
B bokeye Member Joined Feb 7, 2013 Posts 11 Reaction score 1 Jun 27, 2013 #10 big up kwa mwanauuuuume anabana matumizi kuhonga kwa mpango bana
N Ninadj Member Joined May 13, 2013 Posts 8 Reaction score 9 Jun 27, 2013 Thread starter #11 Mm sio kaka plz
K Kelvin gabriel New Member Joined Jun 11, 2013 Posts 1 Reaction score 0 Jun 28, 2013 #13 Daaah hiyo nuksi
T Tasia I JF-Expert Member Joined Apr 21, 2010 Posts 1,223 Reaction score 193 Jun 29, 2013 #14 khhaahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa kudaaadededek...........
GreenCity JF-Expert Member Joined May 28, 2012 Posts 5,872 Reaction score 4,604 Jun 29, 2013 #15 Maskini Bujibuji siri zote nje nje! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
B bambu Member Joined Jul 2, 2013 Posts 9 Reaction score 0 Jul 4, 2013 #16 Hiyo ya mwaka maana nimecheka bila kutaka
T thadei kimambo JF-Expert Member Joined Jan 31, 2013 Posts 220 Reaction score 126 Jul 8, 2013 #17 Duh noma kweli
Z ZABRONE JUSTINE Senior Member Joined May 19, 2013 Posts 122 Reaction score 23 Jul 8, 2013 #18 ha ha ha haaaaaaaa! cha kike hchoooo!
S salum mabura Member Joined Jun 16, 2013 Posts 67 Reaction score 5 Jul 8, 2013 #19 Usaliti umefichuka kinachofuata ni talaka hapo!
Kizazi jeuri JF-Expert Member Joined May 16, 2013 Posts 297 Reaction score 64 Jul 8, 2013 #20 Mhhhh!!!!!