last fatma
Member
- Sep 6, 2016
- 5
- 7
Ni binti wa miaka 25, ni mfanyakazi katika chuo flani jijini Arusha na pia ninaishi na virusi vya UKIMWI. Changamoto kubwa ninayokumbana nayo ni namna ya kupata mwenza ambaye tutaendana na kuishi kwa matumaini kwako naamini kuugua si kufa bali ni mwanzo wa safari mpya katika maisha mpaka pale Mungu atakapoamua kunichukua kijana wa kiislamu mwenye hofu na Mungu na mwenye kufuata masharti ya hali aliyonayo (asiwe amekata tamaa) anahitajika tuyaanze maisha mapya.
MATUSI NA DHARAU VINARUHUSIWA IN ONE CONDITION "UWE MKAMILIFU"
MATUSI NA DHARAU VINARUHUSIWA IN ONE CONDITION "UWE MKAMILIFU"