Kwa ujumbe huu nawajulisha kuwa kama kuna msichana ambaye yupo tayari kuolewa tafadhali ani PM na aweke contact zake for further conversation am so sirious sio matani mke/mume hupatikana popote pale umri wake from 23-30 all the best
Mh. Prezda, Mungu ushamjulisha?
Kwa ujumbe huu nawajulisha kuwa kama kuna msichana ambaye yupo tayari kuolewa tafadhali ani PM na aweke contact zake for further conversation am so sirious sio matani mke/mume hupatikana popote pale umri wake from 23-30 all the best
Anaetaka kuolewa, mweee!!! Mbona hamsemi anaetaka hela jamani!???
Unataka hela??