Pinokio,achana na Kloro hapo juu,hana lolote,ni wale wale.
nikwambie kitu anti? Hauko peke yako,si katika jf,si katika ulimwengu asilia.Kwa kifupi MIANAUME NDIVYO TULIVYO,hata utupende vipi tutaharibi tu!
Pinokio,achana na Kloro hapo juu,hana lolote,ni wale wale.
nikwambie kitu anti? Hauko peke yako,si katika jf,si katika ulimwengu asilia.Kwa kifupi MIANAUME NDIVYO TULIVYO,hata utupende vipi tutaharibi tu!
.Kwa kifupi MIANAUME NDIVYO TULIVYO,hata utupende vipi tutaharibi tu!
husninyo kupenda sasa basi. Khaaa!
Pinokio,achana na Kloro hapo juu,hana lolote,ni wale wale.
nikwambie kitu anti? Hauko peke yako,si katika jf,si katika ulimwengu asilia.Kwa kifupi MIANAUME NDIVYO TULIVYO,hata utupende vipi tutaharibi tu!
husninyo kupenda sasa basi. Khaaa!
salam wana jf.mimi ni mwana mama mume wangu hataki nifanye kazi anataka nitunze familia iyo nimekubaliana nalo.lakini mume huyu huyu hana upendo kabisa yeye kurudi ni manane ya usiku na vituko tele .mkitoka nae out jamani usikutane na mtu akakusalimia mume ananuna ukikaa bar na washikaji zake wakikutazama sana ujue nyumbani utachezea kichapo.mpaka nimeamua sitoki nakaa ndani tu kulea watoto.ila mahitaji yote napata nisichopenda unoko wake tu.na nikimuuliza mume wangu mbona haupendi kurudi mapema ananijibu wewe ndio unatafuta pesa.sasa yoote 9 ni hivi tokea nijue jf ni raha tupu hata akikaa mpaka saa kumi usiku sijari wapendwa tena nasema kwa nini karudi mapema.
Pinokio,achana na Kloro hapo juu,hana lolote,ni wale wale.
nikwambie kitu anti? Hauko peke yako,si katika jf,si katika ulimwengu asilia.Kwa kifupi MIANAUME NDIVYO TULIVYO,hata utupende vipi tutaharibi tu!
vunja ukimya, zungumza na mwenzio...
Pinokio,achana na Kloro hapo juu,hana lolote,ni wale wale.
nikwambie kitu anti? Hauko peke yako,si katika jf,si katika ulimwengu asilia.Kwa kifupi MIANAUME NDIVYO TULIVYO,hata utupende vipi tutaharibi tu!
mpe ile link..labda atatufahamu zaidi!!
All in all...Wanaume Ndio tulivyo
Pinokio,achana na Kloro hapo juu,hana lolote,ni wale wale.
nikwambie kitu anti? Hauko peke yako,si katika jf,si katika ulimwengu asilia.Kwa kifupi MIANAUME NDIVYO TULIVYO,hata utupende vipi tutaharibi tu!
Pinokio, aisee! Pole sana. Ina maana wewe socialization=0? Hatari sana. Kitendo cha kukubali kuacha kazi ili ulee watoto sio cha kishujaa hata kidogo. Uangaliwe na marafiki zake halafu upigwe wewe? Si angewapiga wao wakome kukuangalia? Umeshawahi kufikiria maisha baada ya yeye? Namaanisha incase akafariki ghafla ama akaoa mke mwingine (inatoke,si umeshawahi kuona?). Utaweza kuwalea hao watoto? Si sawa hata kidogo kwake kurudi saa nane usiku,usiache kulisemea hilo mpaka kieleweke! Ila tafuta kazi aisee,soon utakua kama mtoto manake huonani na watu wazima kama unashinda ndani na wanao na mume anarudi saa nane usiku! Kha!