miss_blossom
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,607
- 2,155
Hvi Ww umeelewa picha kwel au unakurupuka tu kuandika [emoji57] [emoji57]Kumsaidia mwenzie ni ubwege, akiingia mtaani kunywa matapu tapu na kurudi usiku wa manane ataambiwa hamjali mkewe na mtoto! SMDH! Kweli dunia ni tambara bovu.
Haya ndio madhara ya wachina kuja kutengeneza barabara
Mtu na dadaake hao huoni wanafanana