Mume bwege

Mume bwege

miss_blossom

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2016
Posts
1,607
Reaction score
2,155
b57930ca4673eab959c9c3f2c7b33c85.jpg
 
Kumsaidia mwenzie ni ubwege, akiingia mtaani kunywa matapu tapu na kurudi usiku wa manane ataambiwa hamjali mkewe na mtoto! SMDH! Kweli dunia ni tambara bovu.
 
Kumsaidia mwenzie ni ubwege, akiingia mtaani kunywa matapu tapu na kurudi usiku wa manane ataambiwa hamjali mkewe na mtoto! SMDH! Kweli dunia ni tambara bovu.
Hvi Ww umeelewa picha kwel au unakurupuka tu kuandika [emoji57] [emoji57]
 
hivi hawa wachina watarudi lini kwao!!??
Au na sisi tuwatimue kama msumbiji
 
Kila sehemu wachina wanakoweka kambi kwa ajiri ya miradi ya ujenzi wa miradi mbali mbali hapa nchini lazima tu waache sura zao kwa madada zetu vimewazalisha sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom