Muleba Kusini tunayoitaka

Muleba Kusini tunayoitaka

Joined
Jan 2, 2014
Posts
94
Reaction score
18
jimbo la muleba kusini linaitaji mbunge wa kutoka ukawa sio ccm tena wakati napitapita leo kwenye vijiwe vyakaawa nikakuta mwenyekiti wa ccm wa wilaya ya muleba ndugu muhaji akizungumza na wanywaji wa kaawa wakimuuliza maswali juu ya kutangaza nia yake ya kugombea ubunge jimbo la muleba kusini anasema kuwa wananchi wanaitaji ukombozi kwamba mbunge wa chama chake ameshindwa kuwatumikia wananchi nikajiuliza kama mbunge wa chama chake kashindwa yeye ataweza ? wananchi wanaitaji mabadiliko kupitia ukawa sio ccm
 
Ccm hawana jipya ktk uso wa dunia.mfumo wake ni mfreji wa ufisadi na umaskini kwa watanzania.waogopeni kama ukoma.
 
Ni suala la wanamkoa na wanamajimbo yote kulishika hili,kwa jinsi navyoona in vyema mkatumia muda mwingi kujaribu kuwashawishi wagombea wote wa nafasi za ubunge wote wawe ni wakazi wa kudumu wa maeneo hayo,sina maana asiye mzaliwa hafai bali hakikisheni wanakuwa wana makazi yao ya kudumu,tuna bahati mbaya ya kuchagua watu wenye makazi yao nje ya mkoa na zaidi wanaoishi Dar,hawa watu kamwe hawatatusaidia kwasababu wanakuja jimboni kama sehemu ya kutembea ama likizo,wakati wa kuhitaji mikakati ya pamoja kuhusu maendeleo wao hawapo na wala haiwasumbui sana kwani wanajua siku chache zijazo kipindi kikiisha watarudi walikotoka maisha yaendelee na sie wananchi daima tutaachwa na matatizo yetu miaka nenda miaka rudi ...yangu ndo hayo kwenu ndugu zangu
 
Back
Top Bottom