The Stress Challengerr
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 2,478
- 6,764
Mkuu yani leo nazionea mbavu zangu huruma. Humu JF jamani ebu pitia hapo kwa mangi agizia chochote nitapitia na Renji yangu kulipiza.Nani hana hiyo belt?
Ninayo toka 90 ila kukabwa kimtaani imo tu.
Wakikulia timming basi.
Nshapigwa roba kanisani migo wakalamba mpunga wote sa 10 asubuhi.
Nikawarudia mmoja mmoja na hela walitapika na nikawapora tena hata walizoiba kwingine.
Dah Maxence Melo thanks for this platform you really help us notorious stress challengers.