Alex Xavery
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 230
- 196
Nimepewa taarifa na jamaangu kuwa kuna kampuni inatoa huduma ya manunuzi ya luku na ving'amzi inaitwa Mula, nimefuata menu yao *150*78#, salio langu la M-PESA limekatwa na bado wananiambia manunuzi yameshindikana, nimepiga simu yao ya huduma kwa wateja namba 0755400006 haipokelewi na mara nyingi inakuwa busy. TCRA waokoe jahazi hili mapema sana iwezekanavyo.