mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 773
- 2,587
Kuna hawa strikers wa Simba , Simba Ina mastriker watatu ambao kwenye pecking order ateba ni namba moja , mukwala Namba mbili na mashaka namba tatu, kwa upande wangu sijawahi muelewa kabisa ateba , nafasi anazopata na kuzibadili kuwa magoli naona haviendani kabisa, pia uwezo wa kusimama kwenye nafasi haifurahishi , tofauti na mukwala anapata game chache na nafasi chache lakin anafunga na hata uwezo wake wa kukaa kwenye nafasi ni mkubwa sana kiasi kwamba namini Simba wangepata winga na viungo wazuri angetisha, wewe kwako yupi Bora hata yanga ruksa kusema chochote hata matusi sawa tu