Ha ha ha ha ha ha ha........Jamaa kachanganyikiwa. Anaamini yeye bado waziri. Mwenye uwezo wa kumvua madaraka ni Rais tu na siyo wahuni wa bunge. Hawezi kubabaishwa na Wahuni na Wala Rushwa. Yeye ni waziri na atabaki kuwa waziri hadi pale Rais atakaposema basi... Hapa Dodoma watu wanamuona wazimu na hii jeuri yake ya kitoto. Haamini kwamba bunge imemvua madaraka ya uwaziri