TANZANIA IJAYO - AFYA IMARA NA UCHUMI IMARA: Takwimu za WHO za 2013 zinaonyesha idadi ya madaktari kwa kila wakazi 10,000 (no of physicians per 10,000 population) kati ya Mwaka 2005 na 2012 kama ifuatavyo: (1) Cuba: 67.2 per 10,000 population, (2) Brazil: 17.6, (3) China: 14.6, (4) India: 6.5, (5) Kenya: 1.8, (6) Uganda: 1.2, (7) Msumbiji: 0.3 na (8)Tanzania: madaktari 0.1 kwa kila wakazi 10,000. Tumezidiwa! Tutaboresha sana Huduma za Afya. S Muhongo