Muhindi aliyesilimishwa!!!!


Haa ha ha mkuu xafi xana.
 
nimejaribu kucheka ila wapi
 
nilivokiona kichekesho hiki kwa chanel ten sikuelewa kumbe ndo ilivo
 
Ndio Nyie wajinga wachache mnaotaka kutuletea matatizo watanzania na hizi dini zenu za kukaririshwa na kuletewa na watu weupe,sijui mkoje...natamani ningewachuja wadini wote nchi hii tukae kwa amani sisi wabantu.

ungekuwa unamaanisha ulichokiandika hata jamii forums usingejiunga coz internet imeletwa na weupe, in short everything too good or moderate bad comes from whites
 
Kwa hiyo inabidi kila msosi tule na pilipili huenda shetani ana vidonda vya tumbo ... hahahahahah!
 
ahhahahahahahah, mpaka shetani kabloooooooooooow
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…