Muhimu mnisaidie wajuzi wa mobile internets

KALYOVATIPI

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2011
Posts
1,414
Reaction score
199
Jamani nawaomba msaada natumia simu aina ya ZTE U880E ni adroid version namba 2.3.7 na kuna mahali kwenye seting nikiangalia wameandika mobile netwok type EDGE sasa kiukweli hii simu ipo slow sana kwenye internet yani mpaka naboleka naamini jf ndo karibu kila kitu kwangu na kuna watu wa kila aina imani yangu nitafanikiwa japo wapo watakaonikebehi msaada tafadhali
 
piga *#*#4636#*#* nenda kwa phone information na uchague wcdma preffered lkn zingatia pia mahali ulipo panapatikana 3G. KALYOVATIPI
 
Last edited by a moderator:

una2mia line gan? Tigo just curious!
 
hiyo simu yako haina mfumo wa 3G chotechote utachofanya ni kazi bure kwa ushauri tumia voda au smart 2G yao iko vizur
 
hiyo simu yako haina mfumo wa 3G chotechote utachofanya ni kazi bure kwa ushauri tumia voda au smart 2G yao iko vizur

Hii post sio ya leo mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…