Msilaumu hao madakitari bwana, maisha magumu mpaka hakumbuki kitu, Nyumbani hajaacha posho ya msosi, mtoto karudishwa shule hajamaliza ada, mwenye nyumba anadai kodi ya nyumba ya miezi 2 kamwambia kesho anakuja na yeye hana hata pee mfukoni, mkweche alionao alinunua kwa mkopo marejesho ya mwisho wiki ijao, bado mkweche wenyewe upo gereji, mafundi wanadai chao wiki ya pili sasa, wanadai asipolipa watalipiga sell wachukue chao wamrudishie chenchi yake, nyumba ndogo bibie ana mimba miezi 8 sasa, kujifungua mwezi ujao, hakuna maandalizi, TOBA YALAH