REMSA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,579
- 947
Inasikitisha na inaumiza sana;katika mazingira haya ya watanzania wanakufa bila msaada,halafu
huyu jamaa mwenye kichwa cha nazi anatembeza bakuli uswizi kwa ajili ya familia yake,maana hatuoni
faida ya kuomba kwake,natamani ningekuwa na uwezo wa kuwashawishi watanzania na hasa jamaa
wa ulinzi akirudi jamaa akute haruhusiwi kuingia nchini aende uhamishoni.
huyu jamaa mwenye kichwa cha nazi anatembeza bakuli uswizi kwa ajili ya familia yake,maana hatuoni
faida ya kuomba kwake,natamani ningekuwa na uwezo wa kuwashawishi watanzania na hasa jamaa
wa ulinzi akirudi jamaa akute haruhusiwi kuingia nchini aende uhamishoni.