fidelis zul zorander
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 685
- 175
Nani mwenye namba za hawa raia niwashtue wa release kitu..
nenda web yao
inavyoonekana ni kwamba tcu wameshatuma matokeo kwenye vyuo vyote na wamewapa idhini yakuyarelease kwenye website zao ila nashindwa kuelewa kwanini baadhi ya vyuo havija ya publish mpaka leo au tuwaelewaje..?
speculations!