Panga Makalikuwili
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 291
- 432
Kwa kweli kitendo kilichotokea Zimbabwe wala hakijatufurahisha sisi "waafrika kabisa''.Kwa nini wameiondoa nembo ya Afrika madarakani kwa hila.Tendo lile limesababisha Afrika kupungukiwa na misimamo ya kizalendo na ni hatua kubwa kwa mabeberu kuja kuinyonya Zimbabwe na Afrika kwa ujumla."Enewei''kufa kufaana,ukisema chanini mwenzio anasema atakipata lini. MUGABE aje kuishi Tanzania awe mshauli wa rais wetu ,Amfundishe mbinu za kung'ang'ania madaraka sababu Tanzania inamuhitaji kwa muda mrefu sana JOHN POMBE .