Muendelezo wa maandamano Zimbabwe: Je, wanamkumbuka Mugabe?

Nilichokisema ni Majority ya Land imechukuliwa na Mugabe family,rafiki zake,wanajeshi na watu wa kabila la washona.,hakukua na usawa ktk kugawa ardhi hio na wala zoezi halikufanyika kwa maslahi ya Taifa.

Sasa je unadhani kwny hilo kabila la Washona wote waliopewa hio ardhi walikua ni matajiri?

Mbona Wandebele mgao haukuwahusu wao kama raia wa Zimbabwe.?

mkuu,zoezi lilifanyika kwa maslahi ya taifa kwa sababu wananchi ndio walimuomba mugabe awarudishie ardhi yao na yeye akawahaidi akiingia madarakani atafanya hivo.
ila kwenye usawa hapo upo sahihi kulikuwa na kasoro hiyo,nadhani shida ilikuwa kwenye utekelezaji
 
mkuu,zoezi lilifanyika kwa maslahi ya taifa kwa sababu wananchi ndio walimuomba mugabe awarudishie ardhi yao na yeye akawahaidi akiingia madarakani atafanya hivo.
ila kwenye usawa hapo upo sahihi kulikuwa na kasoro hiyo,nadhani shida ilikuwa kwenye utekelezaji
Mzee baba Popularity ya Mugabe ilikua imeshayumba,ma komredi wakawa wamemkalia kooni akaona ajifanye mzalendo tu kwa kugawa ardhi hizo bila kua na mipango endelevu ya nini kitafuata baada ya hapo.
 
Mzee baba Popularity ya Mugabe ilikua imeshayumba,ma komredi wakawa wamemkalia kooni akaona ajifanye mzalendo tu kwa kugawa ardhi hizo bila kua na mipango endelevu ya nini kitafuata baada ya hapo.

hapo ndipo alikosea,lakini huyu rais wa sasa awamuzi wake wa kulipa fidia ni uboya na aibu kubwa ndio maana watu wake wamemchoka in less than 3 years
 
Kwa nini wasiiweke nchi yao under trustship kama Tanganyika ilivyowekwaga baada ya mjerumani kulikoroga
 
hapo ndipo alikosea,lakini huyu rais wa sasa awamuzi wake wa kulipa fidia ni uboya na aibu kubwa ndio maana watu wake wamemchoka in less than 3 years
Mnangagwa amechokwa kwa Mambo mengi ikiwemo rushwa kukithiri,Hali mbaya ya kiuchumi(Sababu ya vikwazo vya mabeberu),Mnangagwa mwenyewe na familia yake wanapiga ma-deal ikulu si mchezo.

Kifupi you can't teach an old dog new tricks,huyo rais amehudumu kwny serikali ya Mugabe kwa miaka yote hakuna namna yeye atakua msafi wkt miaka yote alikua mpiga deal na wakina Mugabe.

Ukiona rais na akili zake timamu anatoka ikulu na msafara wa magari kwenda kupokea msaada wa ndoo za plastiki ili kupambana na Covid-19 jiulize ukubwa wa akili zake ukoje mkuu.
Screenshot_2020-08-04-22-45-23-1.jpg
 
Mnangagwa amechokwa kwa Mambo mengi ikiwemo rushwa kukithiri,Hali mbaya ya kiuchumi(Sababu ya vikwazo vya mabeberu),Mnangagwa mwenyewe na familia yake wanapiga ma-deal ikulu si mchezo.

Kifupi you can't teach an old dog new tricks,huyo rais amehudumu kwny serikali ya Mugabe kwa miaka yote hakuna namna yeye atakua msafi wkt miaka yote alikua mpiga deal na wakina Mugabe.

Ukiona rais na akili zake timamu anatoka ikulu na msafara wa magari kwenda kupokea msaada wa ndoo za plastiki ili kupambana na Covid-19 jiulize ukubwa wa akili zake ukoje mkuu.View attachment 1527311

hahahaha,hakuna rais hapo sasa .unajua mkuu kuna baadhi ya mambo sio ya kufanywa wala kuongewa na kiongozi hasa rais
ila umesema kweli kabisa,jamaa ni wazi hawezi kuleta jipya lolote hapo Zimbabwe ni vyema awekwe kijana tu
 
hahahaha,hakuna rais hapo sasa .unajua mkuu kuna baadhi ya mambo sio ya kufanywa wala kuongewa na kiongozi hasa rais
ila umesema kweli kabisa,jamaa ni wazi hawezi kuleta jipya lolote hapo Zimbabwe ni vyema awekwe kijana tu
Hahah hapo mtu wa Generation mpya anatakiwa la sivyo hawa wazee hawana jipya.

Naona hili Suala la vikwazo vya mabeberu ndio linamchanganya sana Mnangagwa mpk anaona awalipe fidia tu hao wazungu labda watamuondolea vikwazo,ila wachina bana hawanaga msaada aisee Zimbabwe Almasi zake wanawauzia wachina bei sawa na bure kabisaa maana kule kwny soko la dunia zimepigwa pini huku wakiendelea kuikopesha Zimbabwe mabilioni ya $$$.
 
mkuu,ulikuwa unamfuatilia Mugabe katika Historia au vyombo vya habari vya mabeberu ? .ngoja nikupe mfano,aliwapokonya ardhi wazungu ambao walijimilikisha ardhi yote ya Zimbabwe huku masikini wakiachwa bila kitu,lakini leo rais wa sasa anataka kuirudisha kwa mzungu tena na kuwalipa wazungu fidia
Mugabe alikuwa zumbukuku tu.

Hao wazungu walikuwa raia halali wa Zimbabwe, sawa na settlers wa S.A au Namibia.

Toka lini mwafrika anaweza simamia mambo makubwa kama mashamba? Angalia alivyoviacha Nyerere, wakina Mkapa wakauziana kwa bei ya kutupwa.

Angekuwa mzungu makampuni alioacha Nyerere yangeshakuwa Multinationals.

Mugabe ni bogus kama marais wengi wa Africa.

Zimbabwe ingekuwa uchumi wa kati toka miaka ya 2000.
 
Naam nimeona baadhi ya picha na video clip jamaa wanapewa mkong'oto haswaa lakini sasa Government ya Zimbabwe ina bahati mbaya maana naona dunia nzima imewageuka ina watetea wananchi ....so wasipokuwa makini wenye dunia yao wakichafukwa watamuondoa raisi madarakani haraka sana

Nadhani hili vugu vugu mnangwaga alikuwa ameshalishtukia kuwa liko planed na mataifa yenye nguvu ndio maana akajifanya kutaka kuyarejesha Yale mashamba na kuwalipa fidia wazungu ili wamuondolee vikwazo vya kiuchumi .... So he need to be smart other wise nguvu ya umma ikitumiwa vibaya na mahasimu wake Watamng'oa katika nafasi aliyo nayo ..shauri yake
Huyo rais wa sasa ni mjinga kama Mugabe.

Hana uhafadhali wowote.
 
Hahah hapo mtu wa Generation mpya anatakiwa la sivyo hawa wazee hawana jipya.

Naona hili Suala la vikwazo vya mabeberu ndio linamchanganya sana Mnangagwa mpk anaona awalipe fidia tu hao wazungu labda watamuondolea vikwazo,ila wachina bana hawanaga msaada aisee Zimbabwe Almasi zake wanawauzia wachina bei sawa na bure kabisaa maana kule kwny soko la dunia zimepigwa pini huku wakiendelea kuikopesha Zimbabwe mabilioni ya $$$.

ni kama TTCL tu mkuu,kuna kipindi ilianza vizuri ila sasa nasikia imekua magunashi
 
sasa umekuja katika kusudio la huu uzi sasa, mleta mada ameuliza sababu ya vurugu zimbabwe nikampa sababu moja wapo ni huo uamuzi wa rais kulipa fidia ya ardhi kitu ambacho wananchi wamepinga na kuingia mabarabarani hivyo basi mkuu huo ni uamuzi wa rais wao sio wa wananchi na ndio maana wananchi wameleta vurugu
Nani kakwambia wazimbabwe kuingia Barabarani hiyo ndio sababu? , Hakuna hata tone la hiyo sababu kwenye maandamano ya zimbabwe.


Sababu kuu ni kukamatwa kwa mwanahabari Hopewell Chin’ono alieandika ufisadi was manunuzi ya vifaa vya kujikinga na covid19. Na pia kukamatwa kwa Kiongozi wa upinzani Jacob Ngarivhume. Kwa pamoja waliorganize maandamano ya amani kupinga ufisadi , kuminywa kwa haki , mauaji na rushwa ya ununuzi wa hivyo vifaa. Wote walikamatwa na mpaka Sasa wako ndani.


Hiyo ndio sababu wazimbabwe wanaandamana kuhitaji hao watu waachiwe. Na Kuna mauaji kadhaa ya wanaharakati na waandishi wa habari.


Narudia Tena Hakuna raisi mbovu Africa Kama Mugabe.
 
Nani kakwambia wazimbabwe kuingia Barabarani hiyo ndio sababu? , Hakuna hata tone la hiyo sababu kwenye maandamano ya zimbabwe.


Sababu kuu ni kukamatwa kwa mwanahabari Hopewell Chin’ono alieandika ufisadi was manunuzi ya vifaa vya kujikinga na covid19. Na pia kukamatwa kwa Kiongozi wa upinzani Jacob Ngarivhume. Kwa pamoja waliorganize maandamano ya amani kupinga ufisadi , kuminywa kwa haki , mauaji na rushwa ya ununuzi wa hivyo vifaa. Wote walikamatwa na mpaka Sasa wako ndani.


Hiyo ndio sababu wazimbabwe wanaandamana kuhitaji hao watu waachiwe. Na Kuna mauaji kadhaa ya wanaharakati na waandishi wa habari.


Narudia Tena Hakuna raisi mbovu Africa Kama Mugabe.

mkuu,ukisoma pale juu mimi nilikuwa mtu wa kwanza kujibu na nimetaja sababu kadhaa ikiwemo mauaji ya kiholela ya raia lakini nikwambie tu wameingia barabarani kwa sababu nyingi sio tu hizo ulizotaja wewe,kwa kifupi wamemchoka rais wao,na hiyo issue ya kulipa fidia wazungu ni moja wa sababu,ukizipqnga sababu hapa hata 10 zinafika
ule msemo wanaoutumia wa zimbabwean lives matter ni kwa sababu watu kadhaa wameuliwa kama ulivowataja hapo baadhi,lakini lengo sio tu kupinga vifo bali pia kuipinga serikali yao
 
mkuu,ukisoma pale juu mimi nilikuwa mtu wa kwanza kujibu na nimetaja sababu kadhaa ikiwemo mauaji ya kiholela ya raia lakini nikwambie tu wameingia barabarani kwa sababu nyingi sio tu hizo ulizotaja wewe,kwa kifupi wamemchoka rais wao,na hiyo issue ya kulipa fidia wazungu ni moja wa sababu,ukizipqnga sababu hapa hata 10 zinafika
ule msemo wanaoutumia wa zimbabwean lives matter ni kwa sababu watu kadhaa wameuliwa kama ulivowataja hapo baadhi,lakini lengo sio tu kupinga vifo bali pia kuipinga serikali yao
Tuko pamoja mkuu.
 
Wapambane na hali yao wasianze kulalamika ndio walichokuwa wanakitaka kama wenzao wa Libya.
Fuatilia wewe Zimbabwe leo inalipata fidia ya dola Bilion 3 kwa huo upuuzi wa Mugabe , unaishi dunia gani hujui hii taarifa.


Mugabe ni moja ya maraisi wa hovyo kutokea duniani. Jiulize kwanini alivyoondolewa madarakani nchi nzima ilikuwa sherehe
 
Back
Top Bottom