Muendelezo wa maandamano Zimbabwe: Je, wanamkumbuka Mugabe?

mkuu,ulikuwa unamfuatilia Mugabe katika Historia au vyombo vya habari vya mabeberu ? .ngoja nikupe mfano,aliwapokonya ardhi wazungu ambao walijimilikisha ardhi yote ya Zimbabwe huku masikini wakiachwa bila kitu,lakini leo rais wa sasa anataka kuirudisha kwa mzungu tena na kuwalipa wazungu fidia
Sijasoma original post nimeanzia kwenye comments.
Naomba kuuliza huyo Raisi wa sasa alichaguliwa? Nikimaanisha alipigiwa kura?
 
Sura na mioyo ya marais wa Afrika zinafanana kwa asilimia kubwa.

Hata wakimfurusha aliyeko sasa, atakayekuja kwa jina la demokrasia naye ni wale wale tu.
Mpaka itokee bahati kama tulivyobahatisha sisi Tz awamu hii ya 5.
nyie mmebahatisha nini? kwani kwenu wapinzani wana nafuu ?
 
mkuu,ulikuwa unamfuatilia Mugabe katika Historia au vyombo vya habari vya mabeberu ? .ngoja nikupe mfano,aliwapokonya ardhi wazungu ambao walijimilikisha ardhi yote ya Zimbabwe huku masikini wakiachwa bila kitu,lakini leo rais wa sasa anataka kuirudisha kwa mzungu tena na kuwalipa wazungu fidia
Fuatilia wewe Zimbabwe leo inalipata fidia ya dola Bilion 3 kwa huo upuuzi wa Mugabe , unaishi dunia gani hujui hii taarifa.


Mugabe ni moja ya maraisi wa hovyo kutokea duniani. Jiulize kwanini alivyoondolewa madarakani nchi nzima ilikuwa sherehe
 
Sura na mioyo ya marais wa Afrika zinafanana kwa asilimia kubwa.

Hata wakimfurusha aliyeko sasa, atakayekuja kwa jina la demokrasia naye ni wale wale tu.
Mpaka itokee bahati kama tulivyobahatisha sisi Tz awamu hii ya 5.
Sisi Tz tumebahatisha nini?
 
Sio tu awamu ya tano. Tanzania atujawai kupata rais mbaya na waovyo. Kwenye hili Mungu huwa anatuona
Watu huwa wanachukulia poa marais tunaopata Tanzania lakini wangejua marais wa Afrika walivyo wapuuzi wangeshukuru Mungu kwa hawa tunaopata.
 
Fuatilia wewe Zimbabwe leo inalipata fidia ya dola Bilion 3 kwa huo upuuzi wa Mugabe , unaishi dunia gani hujui hii taarifa.


Mugabe ni moja ya maraisi wa hovyo kutokea duniani. Jiulize kwanini alivyoondolewa madarakani nchi nzima ilikuwa sherehe
Vipi bado wanasherekea?
 
Fuatilia wewe Zimbabwe leo inalipata fidia ya dola Bilion 3 kwa huo upuuzi wa Mugabe , unaishi dunia gani hujui hii taarifa.


Mugabe ni moja ya maraisi wa hovyo kutokea duniani. Jiulize kwanini alivyoondolewa madarakani nchi nzima ilikuwa sherehe
[/QUO
mkuu,naijua vizuri hiyo issue na nimeiongelea hapo juu, wanalipa fidia kwa sababu rais wao ni msaliti mbona sisi nyerere alitaifisha mashamba je leo tunalipa fidia ? congo mali na mashamba ya wazungu yalitaifishwa je mpaka leo wanalipa fidia ? Mugabe alikuwa sahihi najua hamtaki kukubali kwa sababu hammpendi, kwenye kubinafsisha mashamba alikuwa sahihi,huwezi kuwa rais alafu zaidi ya 80% ya fertile land ipo kwa wazungu alafu unawachekea tu huku watu wako wakitumikishwa,hata the late kenyata alitaifisha mashamba
 
mkuu,ulikuwa unamfuatilia Mugabe katika Historia au vyombo vya habari vya mabeberu ? .ngoja nikupe mfano,aliwapokonya ardhi wazungu ambao walijimilikisha ardhi yote ya Zimbabwe huku masikini wakiachwa bila kitu,lakini leo rais wa sasa anataka kuirudisha kwa mzungu tena na kuwalipa wazungu fidia
Walijimilikishaje?. hebu rudi tena kafwatilie mgogoro wa ardhi wa zimbambwe.
 
Walijimilikishaje?. hebu rudi tena kafwatilie mgogoro wa ardhi wa zimbambwe.

mkuu, unachonibishia watu watakushangaa humu,ardhi ya zimbabwe ilimilikiwa na wakazi wa hapo since the beginning of time,Historia inaonesha hata karne ya 16 huko bado natives walimiliki hiyo ardhi, wakaja kunyang’anywa na wazungu kati ya karne ya 18-19 hapo alafu wewe unakubaliana na mabeberu wamiliki 80% of fertile land kweli ? yani mugabe kurudisha Ardhi ya wananchi wake kawa mbaya ?
IMG_5038.png

IMG_5039.png

IMG_5040.png

IMG_5041.png

IMG_5042.png
 
Ardhi ya Zimbabwe ilipewa familia ya Mugabe,Wanasiasa wenzake,Wanajeshi wakubwa walioko kazini na wastaafu na watu wa Kabila la washona wengine waliobaki wanapambana na hali yao tu.

ile ni nchi ndogo yenye ukubwa wa 390,757 km2 (150,872 sq mi) ,idadi ya watu ni million 16 tu,sio kila mtu anaweza kumiliki Ardhi mkuu, hata kenya wakati kenyatta anagawa ardhi alijipatia yeye na watu wa matabaka kama hayo uliyosema iliyobaki wakapewq na wananchi wa kawaida
ila ni vyema ukituthibitishia madai yako kwamba raia wa kawaida wa zimbabwe hawamiliki ardhi kwa sababu mimi naweza kuleta ushahidi hapa sasa hivi kwamba wapo raia wa kawaida na wa hali ya chini kama mimi wanamiliki ardhi
 
ile ni nchi ndogo yenye ukubwa wa 390,757 km2 (150,872 sq mi) ,idadi ya watu ni million 16 tu,sio kila mtu anaweza kumiliki Ardhi mkuu, hata kenya wakati kenyatta anagawa ardhi alijipatia yeye na watu wa matabaka kama hayo uliyosema iliyobaki wakapewq na wananchi wa kawaida
ila ni vyema ukituthibitishia madai yako kwamba raia wa kawaida wa zimbabwe hawamiliki ardhi kwa sababu mimi naweza kuleta ushahidi hapa sasa hivi kwamba wapo raia wa kawaida na wa hali ya chini kama mimi wanamiliki ardhi

Kwani Kenya hapo Kenyatta alipojichukulia ardhi umeambiwa wananchi wa kawaida/hali ya chini hawamiliki ardhi?Au hapa tunachobisha ni nini labda?
 
mkuu, unachonibishia watu watakushangaa humu,ardhi ya zimbabwe ilimilikiwa na wakazi wa hapo since the beginning of time,Historia inaonesha hata karne ya 16 huko bado natives walimiliki hiyo ardhi, wakaja kunyang’anywa na wazungu kati ya karne ya 18-19 hapo alafu wewe unakubaliana na mabeberu wamiliki 80% of fertile land kweli ? yani mugabe kurudisha Ardhi ya wananchi wake kawa mbaya ?
View attachment 1527266
View attachment 1527267
View attachment 1527268
View attachment 1527269
View attachment 1527270
Wenzako Zimbabwe wameshakubali kulipa fidia na raisi wao anaomba asaidiwe na nchi wahisani kulipa hili deni.


Zimbabwe to pay white farmers $3.5bn in land compensation deal
IMG_20200804_221731.jpeg
 
Kwani Kenya hapo Kenyatta alipojichukulia ardhi umeambiwa wananchi wa kawaida/hali ya chini hawamiliki ardhi?Au hapa tunachobisha ni nini labda?

mkuu,ninachobisha ni hiyo kauli hapo juu kwamba wananchi wa kawaida zimbabwe hawamiliki ardhi
nikatoa mfano kwamba hata kenya licha ya kwamba ardhi walipewa watu wa tabaka la juu lakini hata masikini walipata ardhi kama ilivo zimbabwe, nachojaribu ni kukosoa hiyo kauli ya kwamba mugabe aliifavor familia yake na wanajeshi,ukweli ni kwamba kila nchi ilikua hivo so hii isitumike kumjengea picha mbaya Mugabe mkuu
 
Wenzako Zimbabwe wameshakubali kulipa fidia na raisi wao anaomba asaidiwe na nchi wahisani kulipa hili deni.


Zimbabwe to pay white farmers $3.5bn in land compensation dealView attachment 1527297

sasa umekuja katika kusudio la huu uzi sasa, mleta mada ameuliza sababu ya vurugu zimbabwe nikampa sababu moja wapo ni huo uamuzi wa rais kulipa fidia ya ardhi kitu ambacho wananchi wamepinga na kuingia mabarabarani hivyo basi mkuu huo ni uamuzi wa rais wao sio wa wananchi na ndio maana wananchi wameleta vurugu
 
mkuu,ninachobisha ni hiyo kauli hapo juu kwamba wananchi wa kawaida zimbabwe hawamiliki ardhi
nikatoa mfano kwamba hata kenya licha ya kwamba ardhi walipewa watu wa tabaka la juu lakini hata masikini walipata ardhi kama ilivo zimbabwe, nachojaribu ni kukosoa hiyo kauli ya kwamba mugabe aliifavor familia yake na wanajeshi,ukweli ni kwamba kila nchi ilikua hivo so hii isitumike kumjengea picha mbaya Mugabe mkuu
Nilichokisema ni Majority ya Land imechukuliwa na Mugabe family,rafiki zake,wanajeshi na watu wa kabila la washona.,hakukua na usawa ktk kugawa ardhi hio na wala zoezi halikufanyika kwa maslahi ya Taifa.

Sasa je unadhani kwny hilo kabila la Washona wote waliopewa hio ardhi walikua ni matajiri?

Mbona Wandebele mgao haukuwahusu wao kama raia wa Zimbabwe.?
 
Back
Top Bottom