Muelezee the late henry mnyeshi limihagati

Muelezee the late henry mnyeshi limihagati

CIRDRAH

Member
Joined
Dec 16, 2014
Posts
13
Reaction score
3
Hayati Henry limihagati alikuwa mbunge wa jimbo la solwa na anaaminika kuwa mbunge bora wa muda wote katika jimbo hilo!!kama una lolote juu yake hebu tushirikishe wanaJF...
 
Ndie aliruhusu daladala kuanza rasmi jukumu la kusafirisha abiria jijini Dar.kutokana na msukumo wa hayati E.Sokoine baada ya usafiri jijini Dar kuwa wa adha kubwa.
 
Back
Top Bottom