Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Ulimchomea kijana wa Kigoma (Zito Kabwe) wakati hakuwa na makosa yoyote akasimamishwa bunge kwa muda lakini hukumu ya Mungu kwa mkono ulioutumia kumchomea ukaondolewa na aliyeuweka. Siku nyingine kuwa makini wakati unapoongea maana watu wengi wana magical power. Si unaona sasa na hata katika siasa umedolola na mimi (Kikwete) kwa sasa sina jinsi ya kukusaidia tena......"quote from JK akiongea na Mudhihir
JP ndo nani?