Muda wa mapacha watatu umewadia...


Sijui watanzania wenzangu mnalichukulia vipi hili jambo....ni aibu kwa taifa linaloibiwa wazi wazi halafu linaomba lirudishiwe chenji,ni aibu kwa taifa linalochekacheka na wezi halafu kiongozi wake anakenua meno ati amerudishiwa chenji...na sijui kwanini inaitwa chenji,sijui labda kama mimi sijui vema..nachojua chenji ni sehemu ya pesa iliyobakia baada ya kununua bidhaa fulani..sasa sijui hii ya rada ilibakia au tuliibiwa..nadhani iitwe kwa jina lake kuwa pesa iliyoibiwa imerudishwa...
 
Mkuu naona leo unaota mchana mchana siyo. Usiku ulikuwa lindo, ebo!
2015 utabaki mdomo wazi wakati Lowassa atakapokuwa His Excellency, The President Of United Republic Of Tanzania, Edward Ngoyai Lowassa. Ukweli mchungu ila itabidi uumeze hivyo hivyo.
 
2015 utabaki mdomo wazi wakati Lowassa atakapokuwa His Excellency, The President Of United Republic Of Tanzania, Edward Ngoyai Lowassa. Ukweli mchungu ila itabidi uumeze hivyo hivyo.
Atakuwa Rais wa kwanza wa Tanzania kupinduliwa kijeshi au kwa nguvu ya umma...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…