Wanamuziki Nguza Viking na Papii Kocha wanaotumikiakifungo cha maisha jela, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete awasamehe kwa makosawaliyofanya.
Nguza na mwanaye Papii walitoa ombi hilo kupitia wimbowakati wakitumbuiza katika maadhimisho ya Siku ya Magereza yaliyofanyika Chuocha Magereza Ukonga jijini Dar es Salaam.
Ombi hilo waliliwasilisha kupitia kwa Waziri wa Mambo yaNdani ya Nchi, Mathias Chikawe aliyekuwa mgeni rasmi kwenye sherehe hizo ambapoNguza maarufu Babu Seya na mwanawe, Johnson Nguza (Papii Kocha), walitumbuizawakiwa na Bendi ya Wafungwa. Walimwomba Waziri Chikawe kufikisha ombi lao kwaRais Kikwete.
TAARIFA HII NI YA TEREHE 21/JUNI/2014.........MHE Rais anamaliza muda na juzi alikuwa kule magereza akitunuku nishani.alisema akisamehe baada ya muda ya muda wanaorudi kifungoni ni zaidi a aliowasamehe.