Muda wowote ukiwa tayari kimwili, kiakili, kiuwezo bila kusahau umri urioruhusiwa na sheria za nchi.
Muda wowote ukiwa tayari kimwili, kiakili, kiuwezo bila kusahau umri urioruhusiwa na sheria za nchi.
wasichana wanapenda kuolewa wakiwa na umri usiozidi miaka 30
Thread closed....!Muda wowote ukiwa tayari kimwili, kiakili, kiuwezo bila kusahau umri urioruhusiwa na sheria za nchi.
Wengi wao ukikaa nao utagundua kichwani mwao hawana wazo la kuwa dependant kwa mwanaume na wanakuwa wana plan zao wao kama wao na kama akitokea mtu wa kufunga ndoa wanachofanya ni kutimiza maagizo ya dini lakini hao wanaopenda kufunga ndoa below kuna ambao akili zao wamezi-tune kuwa dependant kwa mwanaume japokuwa wengine huwa wana mawazo huru "unamkuta mtu anasema mie nikifika 28 yrs naolewa kama vipi nazaa nisizeeke"(kwa mtindo huu lazima huyu atakuwa attachment kwa mwanaume once atapojitokeza na kujilazimisha kuolewaSays who? Mi nawafaham wengi ambao wamesha vuka miaka 30 na wala hawajajiskia kuolewa.
ukishazeeka
Muda wowote ukiwa tayari kimwili, kiakili, kiuwezo bila kusahau umri urioruhusiwa na sheria za nchi.
Nope! kuna wengi ninao wajua wanaolewa kwa sababu ya mapenzi, they just feel ready at that time. Na wengine wanaamua kuzaa hata kabla ya 25. Sijabisha kua kuna ambao wako hivo, but not all women are as painted in this thread. and in the absence of statistics, we can't even say it is the majority of women!Wengi wao ukikaa nao utagundua kichwani mwao hawana wazo la kuwa dependant kwa mwanaume na wanakuwa wana plan zao wao kama wao na kama akitokea mtu wa kufunga ndoa wanachofanya ni kutimiza maagizo ya dini lakini hao wanaopenda kufunga ndoa below kuna ambao akili zao wamezi-tune kuwa dependant kwa mwanaume japokuwa wengine huwa wana mawazo huru "unamkuta mtu anasema mie nikifika 28 yrs naolewa kama vipi nazaa nisizeeke"(kwa mtindo huu lazima huyu atakuwa attachment kwa mwanaume once atapojitokeza na kujilazimisha kuolewa
Hamu kubwa au ndogo?Afu wewe.... Njoo tulale. Nna hamu yako.
Nope! kuna wengi ninao wajua wanaolewa kwa sababu ya mapenzi, they just feel ready at that time. Na wengine wanaamua kuzaa hata kabla ya 25. Sijabisha kua kuna ambao wako hivo, but not all women are as painted in this thread. and in the absence of statistics, we can't even say it is the majority of women!
coz ni hot story vijana wakikutana
Zote zote.:hat:Hamu kubwa au ndogo?
Wale wadudu wa kudokoadokoa pale feri ushabugia wa kutosha... usije ukatudhiri..watu walibumburua humu..Zote zote.:hat: