Islamicstate
Member
- Oct 6, 2015
- 29
- 5
Habari wanajamvi,
Katika pitapita zangu na katika upekuzi wangu nimekutana na taarifa kutoka MUCE huko Iringa. Hiki ni chuo kikuu cha elimu ambacho kinazalisha walimu kwa miaka kadhaa sasa. Ila kwa sasa chuo kile kinakabiliwa na FINANCIAL DEFICIT mbali na kuwa taasisi ya kiserikali, Hivyo hali hiyo imepelekea shughuli nyingi kusimama. Lakini pia tetesi zinasema kuna mgomo Wa wahadhili/waalimu chuo hapo kushinikiza serikali kuwalipa baadhi ya maadai yao.
Hali ikiwa hivyo mkuu Wa chuo hicho ambaye pia ni kada Wa chama tawala, Prof. Kilian (nimekutana nae katika vikao vingi vya chama ambapo mwanzoni nilikuwa sijui kama yeye ndiyo mkuu Wa chuo hicho), yeye anadunda na shughuli za ujenzi Wa chama yaani CCM hasa katika kipindi hiki cha uchaguzi. Sijui ni nini hasa jitihada za wakuu Wa vyuo katika kuhakikisha chuo kinaenda vyema. Ila huyu UKADA inavyoonekana unamuathiri pia. Tetesi zinasema chuo kipo hatihati kushindwa kujiendesha.
Katika pitapita zangu na katika upekuzi wangu nimekutana na taarifa kutoka MUCE huko Iringa. Hiki ni chuo kikuu cha elimu ambacho kinazalisha walimu kwa miaka kadhaa sasa. Ila kwa sasa chuo kile kinakabiliwa na FINANCIAL DEFICIT mbali na kuwa taasisi ya kiserikali, Hivyo hali hiyo imepelekea shughuli nyingi kusimama. Lakini pia tetesi zinasema kuna mgomo Wa wahadhili/waalimu chuo hapo kushinikiza serikali kuwalipa baadhi ya maadai yao.
Hali ikiwa hivyo mkuu Wa chuo hicho ambaye pia ni kada Wa chama tawala, Prof. Kilian (nimekutana nae katika vikao vingi vya chama ambapo mwanzoni nilikuwa sijui kama yeye ndiyo mkuu Wa chuo hicho), yeye anadunda na shughuli za ujenzi Wa chama yaani CCM hasa katika kipindi hiki cha uchaguzi. Sijui ni nini hasa jitihada za wakuu Wa vyuo katika kuhakikisha chuo kinaenda vyema. Ila huyu UKADA inavyoonekana unamuathiri pia. Tetesi zinasema chuo kipo hatihati kushindwa kujiendesha.