muccobs or mocu

muccobs or mocu

shabalanks

Member
Joined
Sep 12, 2016
Posts
30
Reaction score
6
Jaman kama kuna msichana aliye chaguliwa chuo cha mocu ama muccobs degree naomba tuonane pls
 
Nakupa historia kidogo ya hicho chuo: kilianza mwaka 1963 kikiitwa Chuo cha Ushirika Moshi. Mwaka 2004 Kiliitwa Chuo Kikuu cha Ushirika na Biashara Moshi (MUCCoBS) ambapo kilikuwa chini ya SUA na mwaka 2014 Septemba kimekuwa Chuo Kikuu Kamili kinaitwa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi au kwa lugha ya wenzetu Moshi Co-operative University (MoCU).
Ni chuo cha Serikali. Karibu sana, kiko karibu na Chuo cha Polisi Moshi, Moshi Sec. pia kiko barabara ya Sokoine ambayo inakwenda hadi Hospitali ya Rufaa ya KCMC. Utamkuta Makamu Mkuu wa Chuo (VC), Prof. Faustine Bee.

Nirudi kwenye mada yako, Sijajua kwanini umetaka tu msichana aliyechaguliwa huko ndio muwasiliane😉
 
Hivi musichana ndoo lecture etii nenda chuo ukasome were usifikirie wasichana bila shaka usipikuwa makni watakuharibia masomo
 
Nakupa historia kidogo ya hicho chuo: kilianza mwaka 1963 kikiitwa Chuo cha Ushirika Moshi. Mwaka 2004 Kiliitwa Chuo Kikuu cha Ushirika na Biashara Moshi (MUCCoBS) ambapo kilikuwa chini ya SUA na mwaka 2014 Septemba kimekuwa Chuo Kikuu Kamili kinaitwa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi au kwa lugha ya wenzetu Moshi Co-operative University (MoCU).
Ni chuo cha Serikali. Karibu sana, kiko karibu na Chuo cha Polisi Moshi, Moshi Sec. pia kiko barabara ya Sokoine ambayo inakwenda hadi Hospitali ya Rufaa ya KCMC. Utamkuta Makamu Mkuu wa Chuo (VC), Prof. Faustine Bee.

Nirudi kwenye mada yako, Sijajua kwanini umetaka tu msichana aliyechaguliwa huko ndio muwasiliane😉
Tulikuwa tunapita tunakimbia mchaka mchaka enzi tupo ccp
 
hahahahaha. na sie tulikuwa tunakwenda kunywa bia Officers Mess hapo CCP hahahaha
ile officers mess ya karibu na geti dogo kule chini tulikuwa tunapita ucku hiyo barabara ya chuoni kwenu via mweka via kcmc via kibosho road daaah hayo mazingira noumaaah mkuu
 
Mi natafta msichana kwa sabab kuna sister ang mmoja anatafuta mtu ambebe kweny room mambo ya madem yametoka wap wakuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom