Ni wiki ya tatu sasa toka 1st year kuingia chuo na baada ya kufika kwa haraka 1st year walitangaziwa kusaini pesa zao lakini chuo kimeendelea kukaa kimya bila kutoa taarifa kwa nini wanafunz wa 1st hawajapewa boom huku tukitambua wazi pesa zote za helsb zilishatumwa vyuoni hata kabla ya vyuo kufunguliwa,MY TAKE usijekuta pesa hiyo inazungushwa kwanza kuwanufaisha wajanja uku walengwa wakilia njaa na kulandalanda mtaani.