Sidhani kama ni madawa hayo, at least siyo hard drugs kama heroin,cocaine etc. Mtu ambaye ni addict wa hivyo vitu hawezi kutulia mpaka apate dozi. Mlevi wa bombe anakuwa hana raha tu, kama hajapata naye hawezi kutulia ghafla.
Hujasema anafanya vitu gani vya ajabu? Lakini labda ana matatizo ya akili au chemical imbalance ambavyo vinaweza kusababishwa na vitu vingi. Ni vizuri mumpeleke kwa daktari.