Muandishi anapokosa i Bashashsa

Muandishi anapokosa i Bashashsa

Babylon

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2009
Posts
1,332
Reaction score
86
UN.jpg
 
hahaha dah.huyu muandishi alitaka kumla huyu mama nini.
 
Mwandishi kakosaje bahasha hapa
Sana sana naona ka concentrate na ana sura ya kazi
Usichanganye madawa mkuu
bashasha-uchangamfu
bahasha -rushwa

hiyo sura uliyoiita ya kazi mtaani wanaita 'uso wa mbuzi'.
 
wakuu muki i zoom kwa huyo mwandishi utaona tofauti.
 
Back
Top Bottom