Emanuel Makofia JF-Expert Member Joined Jan 5, 2010 Posts 3,832 Reaction score 637 Nov 2, 2011 #2 ndo nani huyu?
Chatumkali JF-Expert Member Joined Sep 9, 2011 Posts 2,037 Reaction score 459 Nov 2, 2011 #3 Inawezekana ukosefu wa bahasha unasababisha kukosekana kwa bashasha!
Majoja JF-Expert Member Joined Jun 10, 2011 Posts 612 Reaction score 189 Nov 2, 2011 #4 Babylon said: Click to expand... Mwandishi kakosaje bahasha hapa Sana sana naona ka concentrate na ana sura ya kazi
Babylon said: Click to expand... Mwandishi kakosaje bahasha hapa Sana sana naona ka concentrate na ana sura ya kazi
Achahasira JF-Expert Member Joined Mar 9, 2011 Posts 1,213 Reaction score 215 Nov 2, 2011 #5 hahaha dah.huyu muandishi alitaka kumla huyu mama nini.
U uporoto01 JF-Expert Member Joined May 23, 2008 Posts 4,698 Reaction score 1,429 Nov 2, 2011 #6 Majoja said: Mwandishi kakosaje bahasha hapa Sana sana naona ka concentrate na ana sura ya kazi Click to expand... Usichanganye madawa mkuu bashasha-uchangamfu bahasha -rushwa hiyo sura uliyoiita ya kazi mtaani wanaita 'uso wa mbuzi'.
Majoja said: Mwandishi kakosaje bahasha hapa Sana sana naona ka concentrate na ana sura ya kazi Click to expand... Usichanganye madawa mkuu bashasha-uchangamfu bahasha -rushwa hiyo sura uliyoiita ya kazi mtaani wanaita 'uso wa mbuzi'.
Achahasira JF-Expert Member Joined Mar 9, 2011 Posts 1,213 Reaction score 215 Nov 3, 2011 #7 wakuu muki i zoom kwa huyo mwandishi utaona tofauti.