SULEY KORONGO
Member
- Oct 2, 2015
- 28
- 8
MBUNGE kupitia CUF ni MAFTAHA MACHUMA .ambae ni kipenzi cha watu wa Mtwara mjini ni mafuriko kila siku .hizi ni baadhi za picha katika mikutano yake
Pengine ndio watu wote ktk eneo la huo mkutano.Pengine km ndio watu wote magufuli mwenyewe angeweza pata pungufu sana au asipate kabisa?Mjifunze tumia akili na kuwa na uhasilia zaidi ya kukariri mambo.One love..... Ila picha zako hazionyeshi mafuriko yoyote. Sikunyingine ukitoa post kama hii maneno yaendane na picha unazoeka.Nakuepo mikutano yake mingi na mafuriko nayaona ila picha zako zimekuangusha Jaribu kupiga vizuri ili hata wenzetu wa mbali waelewe