Wanajamvi, wananchi wa mkoa wa Mtwara wanahoji je muendelezo ndiyo uleule wa kupewa ahadi pasipo utekelezaji?? Tunakumbuka wakati wa kampeni rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete akiambatana na mgombea wa awamu hii ya 5 mh. JP MAGUFULI wakiwa huko Lindi walitutangazia ya kuwa barabara ya MTWARA- TANDAHIMBA- NEWALA-MASASI. Ingeanza kujengwa kwa kiwango cha lami haraka iwezekanavyo tena wakianzia na KM 50 kwani hela iko tayari na upembuzi ulishafanyika muda mrf.
Pia Mwenyewe Mh. Magufuli akiwa tyr rais aliyarudia maneno hayo kwa nyakati tofauti akiwemo makamu wa rais na waziri wa miundombinu. Tunashangaa ni zaid ya mwaka sasa tangu ahadi hii itolewe na tulishaambiwa hela ipo sasa ni nini kinakwamisha utekelezaji wa ahadi hii?
Ikumbukwe hii barabara ina mchango mkubwa sn ktk kuingiza mapato ktk taifa letu kwani korosho zivunwazo Newala, Tandahmba, Nanyamba, mtwara vijijini ndo hupitishwa kwenye barabara hii kuelekea bandarini for export.
Wanamtwara tumesubiri kw mda mrf sn tumechoka sasa!!
Pia Mwenyewe Mh. Magufuli akiwa tyr rais aliyarudia maneno hayo kwa nyakati tofauti akiwemo makamu wa rais na waziri wa miundombinu. Tunashangaa ni zaid ya mwaka sasa tangu ahadi hii itolewe na tulishaambiwa hela ipo sasa ni nini kinakwamisha utekelezaji wa ahadi hii?
Ikumbukwe hii barabara ina mchango mkubwa sn ktk kuingiza mapato ktk taifa letu kwani korosho zivunwazo Newala, Tandahmba, Nanyamba, mtwara vijijini ndo hupitishwa kwenye barabara hii kuelekea bandarini for export.
Wanamtwara tumesubiri kw mda mrf sn tumechoka sasa!!