Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
Mada hii itakuwa na 'Updates' mbalimbali za Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa PWANI. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kushiriki na wengine.
Ramani ya Mtwara
HISTORIA YA MKOA WA MTWARA
Mkoa wa Mtwara ni moja ya mikoa ya kusini mwa Tanzania, maarufu kwa kilimo cha korosho na bandari yake muhimu kwa biashara. Mkoa huu ulianzishwa rasmi wakati wa ukoloni, ukiwa na lengo la kuunganisha biashara kati ya maeneo ya kusini mwa Tanzania na pwani ya Afrika Mashariki. Maendeleo ya Mtwara yalichochewa zaidi baada ya ujenzi wa reli ya Mtwara kuelekea maeneo ya ndani ya nchi. Katika kipindi cha ukoloni wa Ujerumani na baadaye Uingereza, mkoa huu ulijulikana kama kitovu cha kilimo na biashara ya korosho, pamoja na mazao mengine.
HALI YA KISIASA
Mkoa wa Mtwara una jumla ya majimbo kumi (10), ambapo majimbo tisa (9) yana wabunge wa kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), na jimbo moja (1) lina mbunge kutoka Chama cha Civic United Front (CUF) kwa mujibu wa uchaguzi mkuu wa 2020.
MAJIMBO YA MKOA WA MTWARA
MATUKIO YANAYOJIRI KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MTAA MKOA WA MTWARA
- LGE2024 - Mtwara: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
- LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
--
Januari
Februari
- GE2025 - MTWARA: Majina ya Watia nia Ubunge waliochaguliwa hatua ya kura za maoni CCM
SEPTEMBA
Ramani ya Mtwara
HISTORIA YA MKOA WA MTWARA
Mkoa wa Mtwara ni moja ya mikoa ya kusini mwa Tanzania, maarufu kwa kilimo cha korosho na bandari yake muhimu kwa biashara. Mkoa huu ulianzishwa rasmi wakati wa ukoloni, ukiwa na lengo la kuunganisha biashara kati ya maeneo ya kusini mwa Tanzania na pwani ya Afrika Mashariki. Maendeleo ya Mtwara yalichochewa zaidi baada ya ujenzi wa reli ya Mtwara kuelekea maeneo ya ndani ya nchi. Katika kipindi cha ukoloni wa Ujerumani na baadaye Uingereza, mkoa huu ulijulikana kama kitovu cha kilimo na biashara ya korosho, pamoja na mazao mengine.
HALI YA KISIASA
Mkoa wa Mtwara una jumla ya majimbo kumi (10), ambapo majimbo tisa (9) yana wabunge wa kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), na jimbo moja (1) lina mbunge kutoka Chama cha Civic United Front (CUF) kwa mujibu wa uchaguzi mkuu wa 2020.
MAJIMBO YA MKOA WA MTWARA
Jimbo la Mtwara Vijijini
Jimbo la Nanyamba
Jimbo la Mtwara Mjini
Jimbo la Newala Vijijini
Jimbo la Newala Mjini
Jimbo la Ndanda
Jimbo la Lulindi
Jimbo la Masasi Mjini
Jimbo la Tandahimba
Jimbo la Nanyumbu
UPDATES
- Kuelekea 2025 - Gerson Msigwa: Serikali yawahakikishia wananchi Uchaguzi Huru na wa Haki 2025MATUKIO YANAYOJIRI KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MTAA MKOA WA MTWARA
- LGE2024 - Mtwara: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
- LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
--
Januari
Februari
- Katibu Mkuu CCM Mtwara Mjini: Vijana tumieni mitandao vizuri kwa manufaa ya CCM
- Mjumbe wa UWT Hawa Ghasia: Wakina mama tunafanya zaidi ya wanaume. Baada ya Samia, aje tena Rais Mwanamke!
- Mjumbe wa UWT Hawa Ghasia: Wakina mama tunafanya zaidi ya wanaume. Baada ya Samia, aje tena Rais Mwanamke!
- Tandahimba: Serikali imekamilisha ujenzi wa kituo cha afya cha Maheha kilichogharimu milioni 400
- CCM kuwashughulikia wanaojipitisha majimboni kutaka ubunge. Rais Samia na Dkt. Mwinyi pekee nafasi zao zimejazwa
- Nanauka Foundation yakabidhi kadi za bima ya afya kwa wazee 204, Mtwara
- UWT Masasi waahidi ushindi kwa kishindo kwa rais Samia 2025
- George Mkuchika atangaza rasmi kutogombea ubunge katika uchaguzi mkuu 2025
- RC Mtwara atoa wito kwa viongozi wa dini kuwaelimisha waumini kuchagua viongozi bora 2025
- Waislamu wa Jimbo la Mtwara vijijini wamuombea Shamsia Mtamba kuendelea kwa miaka mitano ijayo
- Meneja wa Bandari ya Mtwara, Ferdinand Nyathi: Bilioni 434.5 kujenga Bandari ya Kisiwa Mgao
- Mwenyekiti BAWACHA: Akina mama tuungane kudai mabadiliko ya sheria za uchaguzi 'No Reforms, No Election'
- John Heche: Hata tukiwapa miaka 10,000 hawawezi kubadilisha nchi hii, wataendelea tu kuturudisha nyuma
- UVCCM Mtwara wafanya Tambiko maalum kwa ajili ya Rais Samia, wajipanga kulinda Ushindi 2025
- Lissu: Uchaguzi hautafanyika wananchi mkakubaliana na msimamo wetu mkaandamana siku ya uchaguzi
- Amos Makalla: Rais Samia ametuhakikishia Tanzania ni salama
- Serikali imetenga Shilingi Bilioni 234 kwa ajili ya ujenzi wa barabara Newala, Tandahimba hadi Masasi
- Amos Makalla: CCM haijiweki yenyewe madarakani, Watanzania ndio wanaamua
- Mjumbe wa Baraza Kuu Wazazi -CCM: Vijana tambueni na kuthamini haki yenu ya kikatiba ya kuchagua na kuchaguliwa
- Pre GE2025 - Serikali yatoa zaidi ya milioni 815 kukarabati mradi wa Maji Dihimba Mtwara
- Pre GE2025 - Mwenge wa uhuru unazindua, kutembelea na kukagua jumla ya miradi saba yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 4.7 Mtwara DC
- Pre GE2025 - Mbunge Cicil Mwambe: Jimbo la Ndanda limetekeleza ilani ya CCM kwa asilimia 85
- Pre GE2025 - Mbunge Mtenga awahakikishia wananchi Mtwara kuanza kwa ujenzi wa stendi kuu ya mabasi Julai, 2025
- Pre GE2025 - Halima Nabalanganya wa ACT atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Mtwara mjini
- Pre GE2025 - Waziri Ulega akagua mradi wa ukarabati barabara ya Mtwara-Mingoyo wa thamani ya Shilingi Bilioni 152 na Mingoyo-Masasi Bilioni 249
- Pre GE2025 - Hatujamuona Jimboni miaka 5 sasa, Tunamuona kwenye Runinga
- Pre GE2025 - Makamu Mwenyekiti wa CUF Maftah Nachuma akihama chama na kujiunga ACT Wazalendo
- Pre GE2025 - Msanii Rajabu Abdul "Harmonize" kuwania Jimbo la Tandahimba uchaguzi Ujao
- GE2025 - MTWARA: Majina ya Watia nia Ubunge waliochaguliwa hatua ya kura za maoni CCM
SEPTEMBA
- GE2025 - Mwananchi: Hata aje Trump! Mama Samia atashinda
- GE2025 - Mgombea Ubunge ACT-Wazalendo, Hamad Hashimu, ahamia CCM
- GE2025 - Samia: Tunataka ushindi wa heshima wa kufunga midomo wale wengine
- GE2025 - Mwenyekiti wa TANECU, Karimu Chipola amuombea kura Mgombea Urais CCM Rais Samia
- GE2025 - Rais Samia atembelea Kaburi la Hayati Rais William Benjamin Mkapa
- GE2025 - Samia afanyiwa dua na sala na Masista wa Ndanda
- GE2025 - Samia: Wale wanaosema hakuna maendeleo, elimu, afya, umeme na maji kwao si maendeleo, ila akini kwa sisi vijijini hayo mambo ni maendeleo
- GE2025 - Samia: Lengo letu ni kwamba ifikapo miaka mitano ijayo kila Mtanzania awe karibu na maji safi na salama