Mtwara: D.B SHAPRIYA Vs DANGOTE...

Mtwara: D.B SHAPRIYA Vs DANGOTE...

Sizinga

Platinum Member
Joined
Oct 30, 2007
Posts
9,519
Reaction score
7,287
Hawa Jamaa wanakuja kwa kasi sana!! Lakini mbona hiki kiwanda cha Dangote kama kipo kisiasa sana?? Meli ya kwao ilivyoleta kontena za mashinery alikuja waziri kuipokea na kuongea na wananchi...Juzi Shapriya imeleta meli kubwa ya vifaa hata mkuu wa mkoa hajaonekana, may be wapo Shapriya wapo kikazi zaidi na mpaka sasa wamechukua miradi mitatu hapa Mtwara ukiwwemo mkubwa kabisa wa pale bandarini!!

So lets see hawa jamaa, isije ikawa Mawaziri wamekuja kuwapumbaza wanaMtwara ili gasi iondoke, manake up to now Msimamo ni uleule HAITO...KI.....!!

COPY: THE BIG SHOW, MMAHE, EMT,kiwatengu,Tuko, All Southerners na Watanzania wote wazalendo!!
 
Hawa Jamaa wanakuja kwa kasi sana!! Lakini mbona hiki kiwanda cha Dangote kama kipo kisiasa sana?? Meli ya kwao ilivyoleta kontena za mashinery alikuja waziri kuipokea na kuongea na wananchi...Juzi Shapriya imeleta meli kubwa ya vifaa hata mkuu wa mkoa hajaonekana, may be wapo Shapriya wapo kikazi zaidi na mpaka sasa wamechukua miradi mitatu hapa Mtwara ukiwwemo mkubwa kabisa wa pale bandarini!!

So lets see hawa jamaa, isije ikawa Mawaziri wamekuja kuwapumbaza wanaMtwara ili gasi iondoke, manake up to now Msimamo ni uleule HAITO...KI.....!!

COPY: THE BIG SHOW, MMAHE, Sizinga, All Southerners na Watanzania wote wazalendo!!

Shapriya,hii,kama,sikosei,ina,uhusiano,na,kampuni,ya,ujenzi,ya,ROSTAM,AZIZ,iliyopata,tenda,yakusomba,vifusi,katika,mgodi,wa,mwadui.
Hapo,siasa,itakuwa,ina,nafasi,kubwa.
 
shapriya,hii,kama,sikosei,ina,uhusiano,na,kampuni,ya,ujenzi,ya,rostam,aziz,iliyopata,tenda,yakusomba,vifusi,katika,mgodi,wa,mwadui.
Hapo,siasa,itakuwa,ina,nafasi,kubwa.

haina connection na mtu huyo labda utoe maelezo ya kujitosheleza zaidimanake inajitegemea hii kampuni
 
Shapriya,hii,kama,sikosei,ina,uhusiano,na,kampuni,ya,ujenzi,ya,ROSTAM,AZIZ,iliyopata,tenda,yakusomba,vifusi,katika,mgodi,wa,mwadui.
Hapo,siasa,itakuwa,ina,nafasi,kubwa.
Daah mkuu jifunze namna ya kuweka vituo mahali panapohusika.
 
Mtwara kuna mengi sana na kwa mtu ambaye ana weledi mkubwa wa Uchumi naweza kusema kuwa Katika miaka mitano ijayo kama hamtawabania Mtwara itakuwa ya pili kwa kuchangia pato la Taifa lenu nyuma ya Dar. Na katika miaka kumi ijayo itaongoza.

Wamebarikiwa sana na Mola kila kitu wanacho.

Je vipi gas itatoka?
 
haina connection na mtu huyo labda utoe maelezo ya kujitosheleza zaidimanake inajitegemea hii kampuni

Mkuu chezea D.B Shapriya! Hii kampuni nayo wala haina uzalendo ni kampuni ya vyesi tu
 
D. B. Shapriya nayo ni walewale tu usishangae kukuta kwamba nao wapo kimkakati zaidi. Mimi binafsi siwaamini kabisa wahindi (mtanisamehe kama nitaonekana mbaguzi).
Kwa mtazamo wangu kampuni zote mbili zimelazimishwa kufanya usanii wa kuanza kutekeleza miradi hiyo ili kuwapiga mchanga wa macho wana mtwara.
Msipokuwa makini mkakubali kuhadaika, mtakuja kustuka mtakuta sio tu kwamba imetoka (nyie mnasema haitoki) mtakuta imeshamilikishwa wakwapuaji almaarufu wawekezaji!
 
D. B. Shapriya nayo ni walewale tu usishangae kukuta kwamba nao wapo kimkakati zaidi. Mimi binafsi siwaamini kabisa wahindi (mtanisamehe kama nitaonekana mbaguzi).
Kwa mtazamo wangu kampuni zote mbili zimelazimishwa kufanya usanii wa kuanza kutekeleza miradi hiyo ili kuwapiga mchanga wa macho wana mtwara.
Msipokuwa makini mkakubali kuhadaika, mtakuja kustuka mtakuta sio tu kwamba imetoka (nyie mnasema haitoki) mtakuta imeshamilikishwa wakwapuaji almaarufu wawekezaji!

tupo makini na ninaomba watanzania wote wazalendo waungane na wa mtwara katika kusimamia hili..
 
Hawa Jamaa wanakuja kwa kasi sana!! Lakini mbona hiki kiwanda cha Dangote kama kipo kisiasa sana?? Meli ya kwao ilivyoleta kontena za mashinery alikuja waziri kuipokea na kuongea na wananchi...Juzi Shapriya imeleta meli kubwa ya vifaa hata mkuu wa mkoa hajaonekana, may be wapo Shapriya wapo kikazi zaidi na mpaka sasa wamechukua miradi mitatu hapa Mtwara ukiwwemo mkubwa kabisa wa pale bandarini!!

So lets see hawa jamaa, isije ikawa Mawaziri wamekuja kuwapumbaza wanaMtwara ili gasi iondoke, manake up to now Msimamo ni uleule HAITO...KI.....!!

COPY: THE BIG SHOW, MMAHE, EMT,kiwatengu,Tuko, All Southerners na Watanzania wote wazalendo!!


Nawaunga mkono wana maandamano wote hapa Tanzania. Kamwe wana Mtwara msikubali kudanganywa na viongozi wetu, piganieni rasilimali zenu nasi wa mikoa mingine tunawafuata.
 
Dangote ni mfanyabiashara maarufu africa kwa mafuta, cement na vingine vingi tena kwa watu watz waliosoma nje kuna nafasi ya kufanya kazi dangote kuna kitangazo nilikiona online finance, HR, na visehemu vingine. kuna tetesi kuwa dangote wangewaleta wanigeria kibao kufanya kazi ila imekuwa ngumu kidogo serikali imewabania sasa wanatafuta watz maana kwenye hilo tangazo moja ya kigezo ni kusoma nje ya nchi, sisi tunaosoma kwenye kata tumebaguliwa lol
 
Hawa Jamaa wanakuja kwa kasi sana!! Lakini mbona hiki kiwanda cha Dangote kama kipo kisiasa sana?? Meli ya kwao ilivyoleta kontena za mashinery alikuja waziri kuipokea na kuongea na wananchi...Juzi Shapriya imeleta meli kubwa ya vifaa hata mkuu wa mkoa hajaonekana, may be wapo Shapriya wapo kikazi zaidi na mpaka sasa wamechukua miradi mitatu hapa Mtwara ukiwwemo mkubwa kabisa wa pale bandarini!!

So lets see hawa jamaa, isije ikawa Mawaziri wamekuja kuwapumbaza wanaMtwara ili gasi iondoke, manake up to now Msimamo ni uleule HAITO...KI.....!!

COPY: THE BIG SHOW, MMAHE, EMT,kiwatengu,Tuko, All Southerners na Watanzania wote wazalendo!!

Kwa kiasi fulani inatia moyo kwamba sauti zilizopazwa na wanaMtwara zimelazimisha serikali kufanya chochote. Iwe hiyo mikampuni ina uhusiano na serikali au la, but hizo project zikimaterialize tunatarajia money flow kwenda Mtwara itaongezeka. Hizo hela zitakazo'mwagwa' Mtwara kwa kiasi kikubwa zitawanufaisha wanaMtwara. Wavuvi watapata soko kubwa zaidi la samaki wao, wakulima watapata soko kubwa zaidi la vyakula wanavyozalisha, wafanyabiashara (wadogo, wa kati na wakubwa kama wapo), watapata wanunuzi wengi zaidi wa bidhaa zao.
Lakini kikubwa zaidi tutashuhudia ongezeko la 'cultures' tofauti Mtwara. Watu wa mataifa na makabila mengine wataongezeka Mtwara na itawafungua zaidi upeo wanamtwara. Shule, huduma za afya (zahanati, hospitali na vituo vya afya), na huduma nyingine zinazotolewa na serikali itabidi ziimarishwe kukidhi ongezeko la idadi (na caliber?) ya watu, na hii apparently itaongeza kiasi cha fedha za serikali zitakazotolewa kama mishahara ya wafanyakazi wake na kugharamia huduma hizo.
WanaMtwara wanaomiliki ardhi pia watafaidika kwani thamani ya ardhi yao itaongezeka kutokana na mahitaji. 'Wageni' watakaokuja watahitaji kujenga na hapa tutarajie kuongezeka kwa kipato kwa wauzaji na wabebaji mchanga, vifusi, mawe, kokoto na kadhalika, pia mafundi wa nyumba, na naamini wafaidikaji wakubwa wa mambo haya ni wanamtwara wenyewe...

KOMAENI BANA, ISITOKE GESI HAPO, YATOKE MAZAO YA GESI...
 
Viwanda vijengwe tufaidika zina uhusiano na serikali au havina shauri yao cement ishuke bei wanamtwara wapate ajira na other fursa hicho ndicho kinachomata
 
Ivi hii Dangote ni ile Kampuni ya yule bilionea wa Nigeria au hii n nyingine..maana naskia anaviwanda vya Cement karibu Africa nzima..

Ndio huyo bosi unayemzungumzia mkuu...
 
Kwa kiasi fulani inatia moyo kwamba sauti zilizopazwa na wanaMtwara zimelazimisha serikali kufanya chochote. Iwe hiyo mikampuni ina uhusiano na serikali au la, but hizo project zikimaterialize tunatarajia money flow kwenda Mtwara itaongezeka. Hizo hela zitakazo'mwagwa' Mtwara kwa kiasi kikubwa zitawanufaisha wanaMtwara. Wavuvi watapata soko kubwa zaidi la samaki wao, wakulima watapata soko kubwa zaidi la vyakula wanavyozalisha, wafanyabiashara (wadogo, wa kati na wakubwa kama wapo), watapata wanunuzi wengi zaidi wa bidhaa zao.
Lakini kikubwa zaidi tutashuhudia ongezeko la 'cultures' tofauti Mtwara. Watu wa mataifa na makabila mengine wataongezeka Mtwara na itawafungua zaidi upeo wanamtwara. Shule, huduma za afya (zahanati, hospitali na vituo vya afya), na huduma nyingine zinazotolewa na serikali itabidi ziimarishwe kukidhi ongezeko la idadi (na caliber?) ya watu, na hii apparently itaongeza kiasi cha fedha za serikali zitakazotolewa kama mishahara ya wafanyakazi wake na kugharamia huduma hizo.
WanaMtwara wanaomiliki ardhi pia watafaidika kwani thamani ya ardhi yao itaongezeka kutokana na mahitaji. 'Wageni' watakaokuja watahitaji kujenga na hapa tutarajie kuongezeka kwa kipato kwa wauzaji na wabebaji mchanga, vifusi, mawe, kokoto na kadhalika, pia mafundi wa nyumba, na naamini wafaidikaji wakubwa wa mambo haya ni wanamtwara wenyewe...

KOMAENI BANA, ISITOKE GESI HAPO, YATOKE MAZAO YA GESI...

Naaaam...we expect that!!
 
Back
Top Bottom