Mtumishi benki ya EXIM kamatwa na mamilioni ya wizi gesti

Duh kumbe alikuwa incharge wa cashier akaona isiwe tabuu kajipigia lakini misheni imefeli
Hata huyu dogo wa exim namfahamu...alikua branch ya tanga kabla ya kuhamishiwa Dom kama chief cashier....anamacho yenye malienge na big forehead...bahati mbaya sina picha yake humu.. ukimuona ni boya hivi ila ndo kashafanya yake
 
Kuiba kunahitaji mipango sio kukurupuka tu kama unaomba namba ya bar maid.

Unahitaji kujiandaa kisaikolojia.
 
Duh kaiba pesa afu kaenda kujificha gest jamaa chizi kweli unaiba pesa dodoma afu unaenda kujificha bahi

Duh kweli akili kumkichwa kanikumbusha kuna jamaa alimpa mwanafunzi mimba huko kahama afu jamaa akaenda kujificha kagongwa
Wahalifu hawanaga akili
 
watu wanapata chance wanashindwa kutumia
 
Raising capital by stealing??? Hahaa waandishi wa vitabu baadhi wanapotosha vijana,

But remember You will shorten your life.
Nchi nyingi za Ulaya wakati wa merchantalism zilipata mtaji kutokana na "looting and plundering ", hii ndio maana Carl Marx katika "Das Capital"anasema hivyo. Hivi unawakumbuka Wachina na reli ya kati??
 
Watu wanoko sana duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…