mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,079
- 104,501
Npo ila mjini sikai sanaKaka umepotea sana.
Mara nyingi nakuwaga chaka
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Npo ila mjini sikai sanaKaka umepotea sana.
Sawa Mkuu, siku ukija tutafutane. Kuna kitu nilikuahidi...Npo ila mjini sikai sana
Mara nyingi nakuwaga chaka
Ova
Acha wivu wa kike watu waliwahi kusomaJina lake la mwisho lina reflect alichokifanya
Jina lake la mwisho lina reflect alichokifanya
Hata huyu dogo wa exim namfahamu...alikua branch ya tanga kabla ya kuhamishiwa Dom kama chief cashier....anamacho yenye malienge na big forehead...bahati mbaya sina picha yake humu.. ukimuona ni boya hivi ila ndo kashafanya yake
Acha wivu wa kike watu waliwahi kusoma
wizi makini lazima uwe na exit plan kabla haujafanyika..
hawajasoma story ya boston bank robbery iliyoletwa humu jamvini...
unakuta mtu kama huyu ameiba hela halafu kaenda kujificha gesti huku ana simu yake ya mkononi au laini.. hajui simu zinasoma gps.. na pia hela zote kazibeba za nini kusafiri nazo?
hizo zinachimbiwa sehemu kisha anasepa na kiasi kidogo cha kumfikisha pa kujifichia.
magaidi wanakwambia sehemu safe ya mhalifu mkubwa kujificha ni karibu na makao makuu ya polisi, usalama wa taifa au makao makuu ya jeshi.. hata osama aliishi miaka zaidi ya 10 karibu na kambi kuu ya jeshi pakistan...
Ha haàaaaaaa...Jina lake la mwisho lina reflect alichokifanya
Wahalifu hawanaga akiliDuh kaiba pesa afu kaenda kujificha gest jamaa chizi kweli unaiba pesa dodoma afu unaenda kujificha bahi
Duh kweli akili kumkichwa kanikumbusha kuna jamaa alimpa mwanafunzi mimba huko kahama afu jamaa akaenda kujificha kagongwa
watu wanapata chance wanashindwa kutumiawizi makini lazima uwe na exit plan kabla haujafanyika..
hawajasoma story ya boston bank robbery iliyoletwa humu jamvini...
unakuta mtu kama huyu ameiba hela halafu kaenda kujificha gesti huku ana simu yake ya mkononi au laini.. hajui simu zinasoma gps.. na pia hela zote kazibeba za nini kusafiri nazo?
hizo zinachimbiwa sehemu kisha anasepa na kiasi kidogo cha kumfikisha pa kujifichia.
magaidi wanakwambia sehemu safe ya mhalifu mkubwa kujificha ni karibu na makao makuu ya polisi, usalama wa taifa au makao makuu ya jeshi.. hata osama aliishi miaka zaidi ya 10 karibu na kambi kuu ya jeshi pakistan...
Nchi nyingi za Ulaya wakati wa merchantalism zilipata mtaji kutokana na "looting and plundering ", hii ndio maana Carl Marx katika "Das Capital"anasema hivyo. Hivi unawakumbuka Wachina na reli ya kati??Raising capital by stealing??? Hahaa waandishi wa vitabu baadhi wanapotosha vijana,
But remember You will shorten your life.
Kabisa mkuu nilipoliona tu ilo jina nikasema ndio wale wale ukiwapa nnje imekula kwa watanzania
Ha ha ha kila nikionaga hii comment huwa nacheka sana...Wanataka shortcut
Akili mawazo yao ni kununua tako la nyani na kutesa na mabebeiz
Alafu Mtaani utawaskia watu wanasema jamaa ni very smart kichwani
Ova
Watu wanoko sana duhNamkumbuka pia....alikua anachkua hela za bank anampa mme wake azungushe afu mme wake akashindwa kurudisha zile pesa ikabidi wafanye mchongo wakakodi watu kufanya kama tukio la wizi wa bank ili ionekane pesa ziliibiwa....walifanikiwa kutengeneza tukio na polisi wakaamini ni bank robbery kweli badae staff mmoja wa palepale barclays ndio akachomoa betri akasema ukweli kwamba wakati inqfanyika bank robbery pesa zilikua zishaisha strongroom zilibaki chenjichenji tu.. ndio kisa cha yule dada kudakwa afu mmewe akalala mbele.
Ha ha ha kila nikionaga hii comment huwa nacheka sana...
Eti very smart kichwani
Wanataka shortcut
Akili mawazo yao ni kununua tako la nyani na kutesa na mabebeiz
Alafu Mtaani utawaskia watu wanasema jamaa ni very smart kichwani
Ova
Hapa sikuelewaHapo unaweza kuta branch manager ameongezew 60mil au haya 70mil wakat jamaa kapiga 40mil tu