Mtumishi benki ya EXIM kamatwa na mamilioni ya wizi gesti

Duh kumbe alikuwa incharge wa cashier akaona isiwe tabuu kajipigia lakini misheni imefeli
Hata huyu dogo wa exim namfahamu...alikua branch ya tanga kabla ya kuhamishiwa Dom kama chief cashier....anamacho yenye malienge na big forehead...bahati mbaya sina picha yake humu.. ukimuona ni boya hivi ila ndo kashafanya yake
 
Kuiba kunahitaji mipango sio kukurupuka tu kama unaomba namba ya bar maid.

Unahitaji kujiandaa kisaikolojia.
wizi makini lazima uwe na exit plan kabla haujafanyika..

hawajasoma story ya boston bank robbery iliyoletwa humu jamvini...

unakuta mtu kama huyu ameiba hela halafu kaenda kujificha gesti huku ana simu yake ya mkononi au laini.. hajui simu zinasoma gps.. na pia hela zote kazibeba za nini kusafiri nazo?

hizo zinachimbiwa sehemu kisha anasepa na kiasi kidogo cha kumfikisha pa kujifichia.

magaidi wanakwambia sehemu safe ya mhalifu mkubwa kujificha ni karibu na makao makuu ya polisi, usalama wa taifa au makao makuu ya jeshi.. hata osama aliishi miaka zaidi ya 10 karibu na kambi kuu ya jeshi pakistan...
 
Duh kaiba pesa afu kaenda kujificha gest jamaa chizi kweli unaiba pesa dodoma afu unaenda kujificha bahi

Duh kweli akili kumkichwa kanikumbusha kuna jamaa alimpa mwanafunzi mimba huko kahama afu jamaa akaenda kujificha kagongwa
Wahalifu hawanaga akili
 
wizi makini lazima uwe na exit plan kabla haujafanyika..

hawajasoma story ya boston bank robbery iliyoletwa humu jamvini...

unakuta mtu kama huyu ameiba hela halafu kaenda kujificha gesti huku ana simu yake ya mkononi au laini.. hajui simu zinasoma gps.. na pia hela zote kazibeba za nini kusafiri nazo?

hizo zinachimbiwa sehemu kisha anasepa na kiasi kidogo cha kumfikisha pa kujifichia.

magaidi wanakwambia sehemu safe ya mhalifu mkubwa kujificha ni karibu na makao makuu ya polisi, usalama wa taifa au makao makuu ya jeshi.. hata osama aliishi miaka zaidi ya 10 karibu na kambi kuu ya jeshi pakistan...
watu wanapata chance wanashindwa kutumia
 
Raising capital by stealing??? Hahaa waandishi wa vitabu baadhi wanapotosha vijana,

But remember You will shorten your life.
Nchi nyingi za Ulaya wakati wa merchantalism zilipata mtaji kutokana na "looting and plundering ", hii ndio maana Carl Marx katika "Das Capital"anasema hivyo. Hivi unawakumbuka Wachina na reli ya kati??
 
Namkumbuka pia....alikua anachkua hela za bank anampa mme wake azungushe afu mme wake akashindwa kurudisha zile pesa ikabidi wafanye mchongo wakakodi watu kufanya kama tukio la wizi wa bank ili ionekane pesa ziliibiwa....walifanikiwa kutengeneza tukio na polisi wakaamini ni bank robbery kweli badae staff mmoja wa palepale barclays ndio akachomoa betri akasema ukweli kwamba wakati inqfanyika bank robbery pesa zilikua zishaisha strongroom zilibaki chenjichenji tu.. ndio kisa cha yule dada kudakwa afu mmewe akalala mbele.
Watu wanoko sana duh
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom