tafuta lawyer, ila awe lawyer mzuri na wewe uwe na kitita kizuri cha pesa..utampa nyingi na mwishoni yeye atashinda kesi kwaajili yako nawe zitarudi..ukitafuta lawyer uchwara atakuzunguka chenga ya kisigino, anakula kote kota, kwako anakula na kwa adversary wako anakula...hapo sasa...bongo hii..