Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 7,424
- 9,359
Usiitweze imani yake mkuu, hata wewe na ukatoloki wako unawezaje kumuambia binadamu mwenzako nimemla tigo binti wa kazi kwa imani mbele ya baba paroko?Mkatoliki Mwandamizi na Mwerevu anaweza kuwa Muumini wa Tapeli wa Kiroho huyo? Nimezaliwa Mkatoliki na nitafariki pia tu pia nikiwa Mkatoliki.
Je yeye ni Mungu hadi utubu kwake?
Maisha ni kutiana moyo, zaidi sana Upendano na Masaidiano kwa hekima