huko kwenu vipi
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 1,519
- 1,462
Habarini wanajamvi....
Hivi Mtulya na Godwin watawaambia nini wananchi wa majimbo haya?
Hivi Mtulya na Godwin watawaambia nini wananchi wa majimbo haya?
Sioni watakachowaambia wananchi baada ya usaliti wao.Habarini wanajamvi....
Hivi Mtulya na Godwin watawaambia nini wananchi wa majimbo haya?
Kukataliwa hadharani na kwenye box la kura ndio adhabu yao inayowastahili. Hawawezi kutufanya wajinga kiasi hicho!
Mtulia badala ya kuwaomba radhi wapigakura na wananchi wa kinondoni yeye ameenda kuwaomba radhi CCM eti kwa kuwashinda kwa kishindo mwaka 2015.
Bora ukose mali lakini upate akili.
Huku kwetu Siha tutamnyoosha huyu Dr, (Mollel) anayerubunika kijinga namna ile, ---a PhD holder? Au huo u-Dr wake ni kama ule wa prof. Majimafupi?Najiuliza wataomba kura kwa style gani?
Hiv wananchi wa majimbo haya wanaweza kuwachagua wasaliti hawa tena?
Hiv wananchi wa majimbo haya watakuwa wapumbavu kiasi gan kuwachagua wasaliti hawa tena?
Kama 2015 waliacha kumchagua Aggrey mwanri wakamchagua Mollel(lofa) kwa kuwa n mpinzani ndo waje wamchague kupitia ccm??
Sidhani kama wananchi wa siha watakuwa wapumbavu kiasi hiki hivyo hvyo kwa jimbo la Kinondoni.....
Hawa watahitaji kura ya 'wapiga kura wetu' ili watangazwe washindi? Ninawasiwasi ushindi wao utatokana na 'utaratibu maalum'! Mark this!Habarini wanajamvi....
Hivi Mtulya na Godwin watawaambia nini wananchi wa majimbo haya?
Hawana haha ya kuwasumbua kitu, wanawajua na tayari walishawaelewa wakawachagua. Hata Lowassa nampenda Rais na kumuunga mkono, what is your problem?Habarini wanajamvi....
Hivi Mtulya na Godwin watawaambia nini wananchi wa majimbo haya?
Wataiba kuraaHabarini wanajamvi....
Hivi Mtulya na Godwin watawaambia nini wananchi wa majimbo haya?