Mtu mzima na akili zake kufanya haya..

Mtu mzima na akili zake kufanya haya..

Kim Jo Ngil

Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
45
Reaction score
17
Magazeti ya leo yana picha za vijana wa Tanzania wakipigana na kushika mabango kisa kesi ya Zitto. Hivi kweli wewe na akili yako timamu uache shughuli zako kwenda kupigana kisa Zitto? Hivi amechangia nini hasa katika maisha yako hadi ifikie hatua ya wewe kuwa tayari kupigwa mabomu ya machozi?

Tanzanians wake up please. Inasikitisha kweli.
 
wewe mbona unalaumu bure, kweli wewe na akili zako unaacha kufanya shughuli za manufaa kwako unatumia muda kuandika habari zaa vijana waliokuwa wanaapigana kwa ajili ya Zitto?
 
wewe mbona unalaumu bure, kweli wewe na akili zako unaacha kufanya shughuli za manufaa kwako unatumia muda kuandika habari zaa vijana waliokuwa wanaapigana kwa ajili ya Zitto?

Wewe una shughuli gani ya maana?
 
Vp wale wa kambi ya pili! au wao waliajiriwa kwenda na Mabango yanayo mkashifu Zitto?
 
Umeuliza swali la kitoto sana sema hujui tu !!!
 
DSC_0228.jpg



chadema+ngumi.jpg



1451326_10202082106706957_1360533864_n.jpg



DSC_0245.jpg
 
Ama kweli Tanzania hakuna chama cha maana cha siasa ni ubabaishaji mtupu!!
 
na hizo sale zina maanisha nn?yanga, ccm au nn? Hahahahhahah....kweli hii ni tz, ila mwisho wa siku kila mtu ana lake na wake,,,,,kila mtu anajua ukweli wa nafsi..de best thing yo can do to a man z to leave him make his own mistakes!!
 
Jobles hazifai umeme umepanda hawashiki bango wala hawapotayari kupigwa hayo mabomu.........zao sana
 
Back
Top Bottom