Mtu huyu Aden Rage
Wacha nimwongezee dulu Bwana Baraka Mbolembole katika makala yake ambayo nimeisoma kupitia blog ya Shafihi Dauda kuhusu mtu huyu Rage na mikakati yake inayoshindwa. Aden Rage nimeanza kumfahamu kwa karibu takiribani miaka 35 iliyopita hakuna mahali ambapo amenifurahisha zaidi ya kuona anafanya mambo ya hatari ambayo kamwe hawezi kuwa mfano wa kuigwa(role model).
Labda nitaje machache kwa mtiririko maalumu (particular order).
29/April/1984
Tarehe ya hapo juu Aden Rage alifukuzwa kazi katika mamlaka ya ustawishaji mako makuu yaani CDA kwa kosa la ubadhirifu wa mali ya umma , alifukuzwa kazi yeye na maofisa wengine tisa tena walifukuzwa na rais mwenyewe mzee Julius Nyerere , waliofukuzwa na Rage ni pamoja na
Mruma, Kitonka , Morell, Peter Mavunde(sasa hivi ni msheheshaji maarufu), Moses Kagya (huyu alifungwa na kufungwa) yeye Rage n.k.
Rais Nyerere hakufanya makosa kumfukuza Rage akiwa ni clearing and forwarding personnel stationed Dar-es-Sallam alikuwa anaweza kupoteza container zima la vifaa toka bandalini na kulipeleka anakojua yeye , imagine vifaa hivyo ni vya ujenzi CDA ingejengaje makao makuu na kweli kuna wakati shughuri zilisimama kabisa basi ikabidi wafukuzwe.
Rage katika michezo
Akiwa katibu mkuu wa DRFA alizua tifu kati ya DRFA na serikali ati akigombea umiliki wa kiwanja cha Karume, uwanja ambao hajui hata hati miliki iko wapi ,aliendelea na ugomvi ule mpaka akasahau majukumu yake kama katibu mkuu wa DRFA ikawa kila siku tunasikia malumbano tu.
Akawa katibu mkuu wa Simba, simba kipindi cha Rage iliyumba mpaka kidogo ishuke daraja,sina maelezo mengi katika hili wanaokumbuka watajazia
Ila Rage alipokuwa katibu mkuu wa FAT
Hapa ndio Rage alifanya mbaya kuliko kuachilia mbali mambo ya wizi hadi kufungwa baya alilofanya katika FAT in ile sheria yao na mwenyekiti wake Ndolanga ya timu ya nyumbani lazima ishinde, suala hili ni mojawapo lililofanya mpira wetu ushuke kuachilia mbali ule mgogolo wa Yanga. Miongoni mwa zinazoitwa skills ni stamina na control ball, hivi vitu ndio vijana wetu wanavikosa wanazidiwa na wachezaji wa inchi zingine, vyote hivyo viwili vinapatikana katika mazoezi tena sa ingine mazoezi makali, sasa inavyoweka sheria ya 18 ya FIFA kwamba timu ya nyumbani lazima ishinde lazima hizo skills lazima utazikosa kwa sababu application ya sheria hiyo ni mchezo kufanyika kwenye vyumba vya guest uwanjani ni matokeo tu. Unajua walikuwa wanafanyaje? Timu ya nyumbani inamtafuta referee wa mchezo husika wanamtafutia chumba cha kulala katika nyuma za kulala wageni, wanalipia gharama zote, wanamtafutia mwanamke wanampa na fuba la kutosha, siku ya mchazo ni lazima mwamuzi alipe kwa kuipendelea timu ya nyumbani.Suala hili liliuwa mpira wa Tanzania kabisa kipindi cha Rage na Ndoranga, matokeo yake timu zetu zikivuka inje amabpo sheria hii haipo zilikuwa zinafungwa vibaya sana mfano katika klub bingwa Africa Yanga ilifungwa na Marocco mabao 6.0 wakati ule Shungu ni kocha.
Madhara ya sheria hiyo yanaendelea hadi leo.
Rage katika siasa
Mala kapanda katika jukwaa la kampeni na bastola, mala kamtoboa mpinzani jicho Dodoma, jimboni kwake Tabora haonekani, pesa za mfuko wa jimbo hazijulikani zinapokwenda, mala kaipeleka timu ya Simba kiomboi kwenye jimbo la Ngulu Mchemba icheze mchangani siku ya mkutano wa CHADEMA ili CHADEMA isipate watu
Rage kama mwenyekiti wa Simba
Majigambo mengiii kama alivyoeleza Mbolembole,ahadi nyingiiiiii, kujenga uwanja, tumeuza wachezaji malioni ya hela timu inaanza ya kwanza inamaliza ya mwisho, mala hela za rambirambi za Mafisango zimeyeyuka, mala mimi ni bunge kwa hiyo msinibabaishe wakati akiwa katika mkutano mkuu wa Simba, mala mnafanya vikao vya harusi basi mambo vuluvulu.
Aden Rage hafai kuwa kiongozi kwa sababu si mfano wa kiigwa
Wacha nimwongezee dulu Bwana Baraka Mbolembole katika makala yake ambayo nimeisoma kupitia blog ya Shafihi Dauda kuhusu mtu huyu Rage na mikakati yake inayoshindwa. Aden Rage nimeanza kumfahamu kwa karibu takiribani miaka 35 iliyopita hakuna mahali ambapo amenifurahisha zaidi ya kuona anafanya mambo ya hatari ambayo kamwe hawezi kuwa mfano wa kuigwa(role model).
Labda nitaje machache kwa mtiririko maalumu (particular order).
29/April/1984
Tarehe ya hapo juu Aden Rage alifukuzwa kazi katika mamlaka ya ustawishaji mako makuu yaani CDA kwa kosa la ubadhirifu wa mali ya umma , alifukuzwa kazi yeye na maofisa wengine tisa tena walifukuzwa na rais mwenyewe mzee Julius Nyerere , waliofukuzwa na Rage ni pamoja na
Mruma, Kitonka , Morell, Peter Mavunde(sasa hivi ni msheheshaji maarufu), Moses Kagya (huyu alifungwa na kufungwa) yeye Rage n.k.
Rais Nyerere hakufanya makosa kumfukuza Rage akiwa ni clearing and forwarding personnel stationed Dar-es-Sallam alikuwa anaweza kupoteza container zima la vifaa toka bandalini na kulipeleka anakojua yeye , imagine vifaa hivyo ni vya ujenzi CDA ingejengaje makao makuu na kweli kuna wakati shughuri zilisimama kabisa basi ikabidi wafukuzwe.
Rage katika michezo
Akiwa katibu mkuu wa DRFA alizua tifu kati ya DRFA na serikali ati akigombea umiliki wa kiwanja cha Karume, uwanja ambao hajui hata hati miliki iko wapi ,aliendelea na ugomvi ule mpaka akasahau majukumu yake kama katibu mkuu wa DRFA ikawa kila siku tunasikia malumbano tu.
Akawa katibu mkuu wa Simba, simba kipindi cha Rage iliyumba mpaka kidogo ishuke daraja,sina maelezo mengi katika hili wanaokumbuka watajazia
Ila Rage alipokuwa katibu mkuu wa FAT
Hapa ndio Rage alifanya mbaya kuliko kuachilia mbali mambo ya wizi hadi kufungwa baya alilofanya katika FAT in ile sheria yao na mwenyekiti wake Ndolanga ya timu ya nyumbani lazima ishinde, suala hili ni mojawapo lililofanya mpira wetu ushuke kuachilia mbali ule mgogolo wa Yanga. Miongoni mwa zinazoitwa skills ni stamina na control ball, hivi vitu ndio vijana wetu wanavikosa wanazidiwa na wachezaji wa inchi zingine, vyote hivyo viwili vinapatikana katika mazoezi tena sa ingine mazoezi makali, sasa inavyoweka sheria ya 18 ya FIFA kwamba timu ya nyumbani lazima ishinde lazima hizo skills lazima utazikosa kwa sababu application ya sheria hiyo ni mchezo kufanyika kwenye vyumba vya guest uwanjani ni matokeo tu. Unajua walikuwa wanafanyaje? Timu ya nyumbani inamtafuta referee wa mchezo husika wanamtafutia chumba cha kulala katika nyuma za kulala wageni, wanalipia gharama zote, wanamtafutia mwanamke wanampa na fuba la kutosha, siku ya mchazo ni lazima mwamuzi alipe kwa kuipendelea timu ya nyumbani.Suala hili liliuwa mpira wa Tanzania kabisa kipindi cha Rage na Ndoranga, matokeo yake timu zetu zikivuka inje amabpo sheria hii haipo zilikuwa zinafungwa vibaya sana mfano katika klub bingwa Africa Yanga ilifungwa na Marocco mabao 6.0 wakati ule Shungu ni kocha.
Madhara ya sheria hiyo yanaendelea hadi leo.
Rage katika siasa
Mala kapanda katika jukwaa la kampeni na bastola, mala kamtoboa mpinzani jicho Dodoma, jimboni kwake Tabora haonekani, pesa za mfuko wa jimbo hazijulikani zinapokwenda, mala kaipeleka timu ya Simba kiomboi kwenye jimbo la Ngulu Mchemba icheze mchangani siku ya mkutano wa CHADEMA ili CHADEMA isipate watu
Rage kama mwenyekiti wa Simba
Majigambo mengiii kama alivyoeleza Mbolembole,ahadi nyingiiiiii, kujenga uwanja, tumeuza wachezaji malioni ya hela timu inaanza ya kwanza inamaliza ya mwisho, mala hela za rambirambi za Mafisango zimeyeyuka, mala mimi ni bunge kwa hiyo msinibabaishe wakati akiwa katika mkutano mkuu wa Simba, mala mnafanya vikao vya harusi basi mambo vuluvulu.
Aden Rage hafai kuwa kiongozi kwa sababu si mfano wa kiigwa