Kwani waswahili hawachezi na nyoka au huwajui Kibisa?Mtu anachezea nyoka kisha anasema “wow, so beautiful “View attachment 3270579
Wale wasukuma?Kwani waswahili hawachezi na nyoka au huwajui Kibisa?
Mbona wanateketeza wanyama wetu na trophies? Huwajui uzuriHawa watu wana upendo sana na wanyama;
1. Ni vigumu mzungu kung'atwa na mbwa hata awe mkali vipi.
2. Wanyama wengi wanaelewana na wazungu haraka sana
Ngoma troupeWale wasukuma?