Criss
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 1,944
- 3,090
General Muhozi (yule mtoto wa Rais Museven ) anamwambia Rais Samia Suluhu Hassani kwamba kama atakuwa anahitaji msaada wowote kutoka kwake kutokana na hii hali unayoipitia kwenye Taifa lake , asiwaze , yeye amgongee tu kwenye No zake atafika kwa haraka.
Lengo hapo nikuja kuongeza nguvu ya kuwadhibiti watu wanaopigania haki zao kwenye Taifa lao then yeye anawatazama kwa jicho la kuwa ni waovu.
Hii nikama kusema lile deal lao la mwanzo (wale wanajeshi waliyopeana kimyakimya kutoka Uganda) nikama wanaona haujaleta matokeo ya moja kwa moja baada ya kudhibitiwa kistaarabu tu sasa wanataka kuleta rasmi .
Kwa upande wa pili tunajua kuwa hii ni deal ,watu wanataka kufanya biashara Kodi zetu zinahaka kwenda kutumika kuja kumwagwa damu za watanzania .
Binafsi naona hiyo ndiyo itakuwa tamu kubababake , wacha waje ili vyuma vianze kukohoa rasmi tofauti nasasa inatumika njia ndefu sana .
Mama ruhusu waje , waleteeee ili madogo wakapuumzike ,kiwake rasmi.
Dogo sharubu zake zinampa kiburi sana .
Namukuhakikishia huyu choko anapapaswa misa ya kwanza tu.
Lengo hapo nikuja kuongeza nguvu ya kuwadhibiti watu wanaopigania haki zao kwenye Taifa lao then yeye anawatazama kwa jicho la kuwa ni waovu.
Hii nikama kusema lile deal lao la mwanzo (wale wanajeshi waliyopeana kimyakimya kutoka Uganda) nikama wanaona haujaleta matokeo ya moja kwa moja baada ya kudhibitiwa kistaarabu tu sasa wanataka kuleta rasmi .
Kwa upande wa pili tunajua kuwa hii ni deal ,watu wanataka kufanya biashara Kodi zetu zinahaka kwenda kutumika kuja kumwagwa damu za watanzania .
Binafsi naona hiyo ndiyo itakuwa tamu kubababake , wacha waje ili vyuma vianze kukohoa rasmi tofauti nasasa inatumika njia ndefu sana .
Mama ruhusu waje , waleteeee ili madogo wakapuumzike ,kiwake rasmi.
Dogo sharubu zake zinampa kiburi sana .
Namukuhakikishia huyu choko anapapaswa misa ya kwanza tu.