Let him go,he is good for nothing...loser!
ni msaf ndio na hana kashfa ila ukiranja mkuu hawez sbb hana msimamo kaz yake kulalamika na kulia tu badala ya ku-take action.hapigwi, hana tatizo, anakubalika, hakuna kashfa yoyote aliyonayo. Ni safi kuliko wote kwa Magamba
Kama siyo hichi kiTECNO changu ningekugongea like!! KabembeLet him go,he is good for nothing... loser!
Akigo what will be next? au unataka aende ili upate chance na wewe ya kufisadi?. Ovyo kabisa.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
uongozi si sura ungekuwa sura basi baba yako angekuwa kiongozi kwa taifa hili,acha mambo yako ya kitoto watu wanapojadiliana mambo ya msingi kwa maendeleo ya taifa letu huna la kuchangia kaa kimya,Shabashiiiiiiiiii!Kama siyo hichi kiTECNO changu ningekugongea like!! Kabembe
Povu la nini sasa?! .... mi naona bora atolewe tu! kwanza waziri gani ana sura mbaya vile!!
hapigwi, hana tatizo, anakubalika, hakuna kashfa yoyote aliyonayo. Ni safi kuliko wote kwa Magamba