Wengi walio comment inaonekana hawana watoto na kama wanao basi hawajakaa kabisa na watoto wao enzi za uchanga
Mtoto akizaliwa tu baada ya wiki ukimsimamisha anatakiwa anyooshe miguu yake na asimame wima, yaani sio ukimshikilia asimame mtoto anakunja miguu
Wengi wanadhani ni kusimama kabisa kama mtu mzima
Mleta mada nilipitia hali hiyo kwa mtoto wangu wa kiume wa kwanza na niliogopa sana
Nikampeleka hospital nikaambiwa yupo Ok
Kipimo kizuri kama mtoto yupo ok ni anavyoweza kupush miguu
Yaani ukichukua kalamu ukamkunja mguu kisha mchome kiani mguuni akisikia maumivu atasukumu mguu kuuonyosha..... hapo ujue yupo ok
Lakini kama atabaki hivyo hivyo kakunja tu mguu basi ujue kuna tatizo mpeleke hospitali
NB
Usimchome ukamtoboa [emoji23][emoji23]
Just to disturb him/her ili a push mguu