Mtoto wa miezi mitano hajaanza kusimama

Mtoto wa miezi mitano hajaanza kusimama

Wengi walio comment inaonekana hawana watoto na kama wanao basi hawajakaa kabisa na watoto wao enzi za uchanga

Mtoto akizaliwa tu baada ya wiki ukimsimamisha anatakiwa anyooshe miguu yake na asimame wima, yaani sio ukimshikilia asimame mtoto anakunja miguu
Wengi wanadhani ni kusimama kabisa kama mtu mzima

Mleta mada nilipitia hali hiyo kwa mtoto wangu wa kiume wa kwanza na niliogopa sana
Nikampeleka hospital nikaambiwa yupo Ok

Kipimo kizuri kama mtoto yupo ok ni anavyoweza kupush miguu
Yaani ukichukua kalamu ukamkunja mguu kisha mchome kiani mguuni akisikia maumivu atasukumu mguu kuuonyosha..... hapo ujue yupo ok
Lakini kama atabaki hivyo hivyo kakunja tu mguu basi ujue kuna tatizo mpeleke hospitali

NB
Usimchome ukamtoboa [emoji23][emoji23]
Just to disturb him/her ili a push mguu
Uongo Pro Max...

Wiki moja mtoto hata habari za kufungua macho hana, ni mwendo wa kulala tuu, sembuse kusimama?

Cha kwanza kwa mtoto ni kukomaa shingo, na inachukua kama miezi 2 hivi.
 
Tumia fertility forte
 

Attachments

  • 0589B340-9654-4D1B-BC90-3A03EA7203FC.jpeg
    0589B340-9654-4D1B-BC90-3A03EA7203FC.jpeg
    12.4 KB · Views: 21
Back
Top Bottom